Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kakubali katoa sehemu ya mshahara wake ili dili litimie

Changuo lake namba 1 hadi namba 5 ni arsenal tu. Nyumbu akatia pua yake akakataliwa live. He only wants to play for arsenal

Ameshinikiza Sporting cp ili dili lake likamilike, aligoma kurudi kwenye club

Wakala wake nae kakubali kupunguza kamisheni yake kisa dili likamilike
Mpira wa sasa unaitaji mchezaji mwenye mapenzi ya kweli na club, mie kama mwana man u nilikasirishwa na hijacking waliyofanya kwa gyokeres ambae alisisitiza toka mwanzo kuja arsenal.
 
Zubimendi na merino ndio midfield engine ya hispain. Epl safari hii watatugea lawama tu
Hivi merino ana namba Spain ama ni squad player tu ?? Hata huyo zubimend hana namba ya kudumu Spain wakiwa wote full mziki,,,, kina pedri, Rodri watakuwa wapi mda huo ?

Kuna mda unasoma pumba ya mtu humu kisa mahaba na mchezaji mpaka unahisi amekatwa kichwa ndo akaandika comment ama ? ?

Bora hata Zubi,,,, Merino yupo yupo tu anabahatisha dakika chache pale national team
 
Dogo ana upepo, kakubalika na mashabikiView attachment 3416074
Celebration yake ni trademark.
Viktor sio tu mfungaji mzuri bali pia ni brand. Ni biashara nzuri kwa Arsenal.

Thus why hata Sporting walitaka walipwe more than what was paid coz asilimia kubwa ya mashabiki wengi wa mpira walikua wakiangalia mechi za Sporting sababu yake, so imesaidia sana kutanua fan base yao.
 
Hivi merino ana namba Spain ama ni squad player tu ?? Hata huyo zubimend hana namba ya kudumu Spain wakiwa wote full mziki,,,, kina pedri, Rodri watakuwa wapi mda huo ?

Kuna mda unasoma pumba ya mtu humu kisa mahaba na mchezaji mpaka unahisi amekatwa kichwa ndo akaandika comment ama ? ?

Bora hata Zubi,,,, Merino yupo yupo tu anabahatisha dakika chache pale national team
Bila Merino, Spain Euro angeisikia kwenye bomba
 
Kuna namna Edu alikua hafanyi kazi yake kwa usahihi. Huyu mzee ni mafia wa soko
Na huu ni msimu wake wa kwanza na ana presha kubwa. Nimeshaanza kuwaza msimu au misimu ijayo itakuwaje akitumia network yake kutafuta vipaji vikali visivyojulikana na vya bei chee kuja kukiwasha kama kwa Atletico Madrid? Nawaza huu ndiyo msimu tutaotumia pesa nyingi kwa sajili ila misimu inayofuata tutatumia pesa kidogo zaidi.
 
Zubimendi ananikumbusha Vitinha na Neves dhidi yetu na PSG, touches nyingi zinazoipa timu control ya kumkera mpinzani, kama kaishiwa pumzi afu bado unamkaba koo.

Hawa Man u mbona itakuwa aibu siku tukikutana, hapo bado EZE
Zubi ni mchanganyiko wa Partey+Jorginho in a same package.

And let me be honest, I wasn't aware of his game until today.. na hii ndio kwanza mechi yake ya mwanzo. So tutegemee mambo mazuri zaidi huko mbele.
 
Bila Merino, Spain Euro angeisikia kwenye bomba
unamkumbuka Eder wa portugal Euro 2016? utasema kwamba yule ni mchezaji wa maana?. au huku kwenye mpira pori kuna takataka inaitwa Joseph Guede ndiye aliipeleka Young africans quarter final baada ya 25 years ila bado atabaki kuwa galasa tu
 
Assessment yangu mechi ya jana:
Kuna vitoto viwili vya academy, walinivutia sana:
1. Josh Nichols namba 2 (LB)
2. Max Dowman No.7 (LW)
Nadhani hawa wame graduate for selection to feature in big matches
Kai looks like he has gained weight na ni mzito. Kazi anayo.
 
Hao ni watu wa footmob hawaangalii mpira kazi yao kubishana tu
Hongereni wanangu wa Asenyo, kumbe mmebeba kombe huko Singapu halafu hata hamsemi?
1753340115598.jpg
images-32.jpg
 
Assessment yangu mechi ya jana:
Kuna vitoto viwili vya academy, walinivutia sana:
1. Josh Nichols namba 2 (LB)
2. Max Dowman No.7 (LW)
Nadhani hawa wame graduate for selection to feature in big matches
Kai looks like he has gained weight na ni mzito. Kazi anayo.
Nami niliona hivyo, madogo walijua kukiwasha balaa

Iwapo watapewa game time kwenye mechi za Carabao na chache za Ligi Kuu, wanaweza kuwa Bora sana In future 💪
 
unamkumbuka Eder wa portugal Euro 2016? utasema kwamba yule ni mchezaji wa maana?. au huku kwenye mpira pori kuna takataka inaitwa Joseph Guede ndiye aliipeleka Young africans quarter final baada ya 25 years ila bado atabaki kuwa galasa tu
Unaangalia gemu za Spain? Unakubaliana na huyo jamaa kwamba Zubi na Merino ni galasa?
 
Back
Top Bottom