Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gyokeres hio £90m utatoa wewe?
Arsenyo baada ya kumalizana na Noni Yamal Madueke kituo kinachofata ni kwa Super striker Nicolas Aguero Jackson a.k.a The Beast. View attachment 3401566
Huyu kuna switch kama 3 hivi kichwani mwake, zikikatwa na kuungwa direct, anaweza kuwa mchezaji mzuri.

Ila ASHENYALI, wanajua kutupagawisha mashabiki wake.. 🤣😂
 
Nyie hata hamjui mnataka nini ,,,,,

Madueke wa nini sasa ? Chelsea imekuwa chimbo lenu la kuokoteza matakataka,,,, msimu huu tu Madueke na kepa !

Nackia kuna mashabiki huko London walipitisha petition ya kutotaka Noni asajiliwe, signature zilifika zaidi ya 2000! Poleni sana
 
Kwa huu usajili ya Noni £50m +adds on, zubi, Nogaard, kepa,,, kuna uwezekano tena hamuwezi kuwapata rodrigo, eze, Victor G na yule beki anaechezea Spain,,,, labda itokee muuze na kuwaacha baadhi ya wachezaji ili muweze kubalance vitabu, sana sana mtaletewa mmoja tu ili mmpoe !

Rodrigo asking price £100m
Victor G £90m , lile liprizidaa la CP Lina tamaa mbaya
 
Nimesoma kuwa tumetuma washenga Ureno tangu weekend hii iliyoisha mpaka leo wameamua kurudi bila kuafikiana na Sporting. Kuna uwezekano kuwa sasa tutaanza upya kutafuta striker.

Gyokeres anatamani sana kuja kwetu na inaonekana sisi pia tunamtaka sana ila tunatofautiana na Sporting kwenye thamani ya mchezaji. Inaonekana tumeelewana bei ni €80m jumla, sisi tunasema €65m + €15m kwa add-ons, wao wanataka €70m + €10 kwa add-ons.

Kama kweli, japo sidhani kama kweli tunapishana million 5 tu kwenye upfront fee, nitaendelea kuona kweli mambo mengine yanafeli kwa vitu vidogo tu. Of course siwezi kusema 5m ni ndogo, huku bongo unaweza kunyimwa mke kisa mbuzi uliyepeleka hakuwa mnono vya kutosha kuwaridhisha wake wako watarajiwa.

Tuendelee kusikilizia hili kwa kama wiki mbili hivi.
Si waweke akunti muwachangie nyie wamatumbi sio mnapiga kelele halafu hata Mia mbovu hutoi
 
Mkuu usikate tamaa, Madueke yule ni Yamal mtupu, tofauti yao ni nywele na komwe tu.
Madueke misimu yake miwili tu chini ya Masterclass Tetea Kiwigi anabeba Ballon d'Or.
Arsenyo chini ya winga teleza Noni Yamal Madueke ikishindwa kuchukua Treble msimu huu Chelsea wanawarudishia hela yenu
We jamaa unakuwaga mjanja Sana😅
 
Mchezaji mnamchukua na kigenge kizima kinashukuru.

Madueke kwa takwimu zake hizi hizi tungekua tunamnunua kutoka labda Lyon au CP mashabiki wangeona sawa tu.

Ila shida ni anapotokea. Kuna sehemu nimesoma kwamba Arteta amemtaka Madueke ili asingekuja akikosa makombe asingizie hakuletewa Madueke
Hakuna kocha pale.

Endeleeni kujifariji nae tu.
 
Gyokeres asipokuja qmmk sijui itakuwaje. Hii timu inaweza ikakulaza hospitali usipokuwa makini
Kila siku tunavyosema humu kua Arsenyashi ni kikundi cha comedy hua mnajifanya hamuelewi, haya angalieni sasa jinsi mpaka sajili zenu zinavyowachekesha na kuwavunja mbavu wapinzani wenu
1710748027241.jpg
 
Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.

Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
 
Madueke mtu sana, anaweza akaamua siku hiyo akaambaa ambaa na mpira kwnye chaki kulee gafla akachuna breki kama ngiri akaanza kurudi alipotoka.

Sema nini?! Nyie Arsenal ndio rafiki zetu wa kweli, kwnye wakati wa shida na wakat wa raha.
Sema Arsenyashi wanajua sana kutufurahisha mashabiki wa timu pinzani.
1974814605.jpg
 
Back
Top Bottom