makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,805
- 103,829
Huyu kuna switch kama 3 hivi kichwani mwake, zikikatwa na kuungwa direct, anaweza kuwa mchezaji mzuri.Gyokeres hio £90m utatoa wewe?
Arsenyo baada ya kumalizana na Noni Yamal Madueke kituo kinachofata ni kwa Super striker Nicolas Aguero Jackson a.k.a The Beast. View attachment 3401566
Ila ASHENYALI, wanajua kutupagawisha mashabiki wake.. 🤣😂


