Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Sidhani kama tuna mpango wa kumchukua Noni kiukweli mpaka sasa. Tutakuwa tunacheza hangaisha bwege na watu halafu tunachukua mchezaji mzuri ambaye hakuna mtu anajua tunaongea nae mpaka msikie tu tumeshamsajili. Kama tulivyofanya na dili la Norgaard.


Package in excess of £50m with add-ons included. Mashabiki wa Chelsea wanasema asante arsenyo mungu awabariki mumalize nafasi ya pilo


