Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ebwaneee. Tumemchukua Noni kiu

Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.
Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.

Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:

"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
1752243005970.jpg
 
Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.

Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:

"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
View attachment 3401954
Aisee huyo jamaa 😂 strength mpk za ngolo kante😂
 
Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.

Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:

"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
View attachment 3401954
Nimecheka sana, hapo alipokua anampamba Havertz,😂😂 Havertz huyu huyu wa Arsenal au alikua anamuongelea mwingine!!!

Sijui kwann jamaa hajaribugi kuingia kwnye siasa ana nguvu kubwa sana ya ushawishi.
 
Kuna mtu humu alileta logic kwamba Arteta hawezi kuondoka kwasababu ameingiza pesa nyingi msimu uliopita kuliko club zote ligi ya Uingereza. Ni kweli au sio kweli, mimi sifahamu hilo lakini hii haitoshi kumfanya awe na uhakika wa kuhakikisha kibarua chake pale Emirates. Arsene Wenger alikua professor kwenye upande huo aliifanya Arsenal the best pia financially lakini ilifika wakati mashabiki hawakumuelewa uwanjani. Nguvu ya mashabiki ikaamua mustakabali wake pale Emirates. Kocha unapofikia wakati unapoteza connection na Fanbase huwa na hatari zaidi na inahatarisha zaidi nafasi yako. Arteta msimu huu asipochukua kikombe na hizi sajili zake ambazo mashabiki wengi hawazielewi, naimani utakuwa wakati mgumu sana kwake.
 
Nilichogundua mashabiki wengi wa Arsenyashi wanam-underrate Madueke kwa vile tu Masingeli amelikimbia hili jukwaa.
Nina uhakika hamis77 angekuwepo humu angempamba Madueke kama vile alivyompamba Harvez na misukule yote ikaingia kwenye mfumo wa kusifu na kuabudu.
Sema lile jamaa lilikua linajua sana kushawishi, halafu lilikua linawachukulia mashabiki wa Arsenyo kama matakor yake.

Hizi hapa chini ni nukuu zake kuhusu Kai:

"Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwezi kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz."
View attachment 3401954

😀 😀 😀 😀

Kwa sababu Hamisi hayupo, ngoja mimi nijaribu kumtetea Arteta na huu uamuzi wake wa kipuuzi (unavyoonekana kwa sasa) kwa Madueke.

Tuanze na mabaya yake.

Nasikia jamaa ni mchoyo kinoma. Anafikiri yeye tu ndiye anahaki ya kufunga magoli kufikia hata hatua ya kutoshangilia magoli na wenzake wakifunga. Nasikia ameshawahi hata kugombania penati na Palmer mpaka wachezaji wenzake wakaja kumsukuma na kumyang'anya mpira. Jamaa hapendi kukaba, hapendi kupiga buti, hapendi kupress. Nasikia jamaa ana kiburi balaa na hajengi urafiki na wachezaji wenzake vizuri. Lazima tujiulize kocha asiyependa wachezaji wenye viburi kaona nini kwa mchezaji huyu mpaka tutoe pesa yote ile? Jamaa ana maamuzi mabovu ile mbaya kiasi kwamba hata mabeki hawana haja ya kujisumbua kumkaba, wanajua tu akifika kwenye 18 hafungi wala hatoi assist.

Tuje kwenye mazuri maana mabaya hayaishi;

Jamaa ni kijana mdogo, labda anafundishika. Nasikia Arteta amemuona kama anamfaa, japo Arteta huyo huyo alimleta Sterling akitumaini kuwa ataweza kumjenga kuwa kama yule Sterling wa C115y. Hakufanikiwa kwa Sterling ila labda atafanikiwa kwa Madueke. Watu walicheka sana walivyochukuliwa Ramsdale na Ben White kwa bei za kijinga ila mwishowe tuliona tumepata vifaa. Tuombe bahati iwe kwetu kwa huyu pia.

Jamaa anajua kabisa mashabiki hawamtaki ila bado amekuja. Labda atakuwa na usongo wa kutupa furaha mashabiki na kutuonyesha kuwa tulikosea kumkataa. Anaweza kupambana na kuwa mchezaji mwenye manufaa kwa timu na kutupa mafanikio.

Mazuri mengine yapo, ila tuyaache kwanza mpaka tutakapoona yale ya maana atakayofanya.
 
😀 😀 😀 😀

Kwa sababu Hamisi hayupo, ngoja mimi nijaribu kumtetea Arteta na huu uamuzi wake wa kipuuzi (unavyoonekana kwa sasa) kwa Madueke.

Tuanze na mabaya yake.

Nasikia jamaa ni mchoyo kinoma. Anafikiri yeye tu ndiye anahaki ya kufunga magoli kufikia hata hatua ya kutoshangilia magoli na wenzake wakifunga. Nasikia ameshawahi hata kugombania penati na Palmer mpaka wachezaji wenzake wakaja kumsukuma na kumyang'anya mpira. Jamaa hapendi kukaba, hapendi kupiga buti, hapendi kupress. Nasikia jamaa ana kiburi balaa na hajengi urafiki na wachezaji wenzake vizuri. Lazima tujiulize kocha asiyependa wachezaji wenye viburi kaona nini kwa mchezaji huyu mpaka tutoe pesa yote ile? Jamaa ana maamuzi mabovu ile mbaya kiasi kwamba hata mabeki hawana haja ya kujisumbua kumkaba, wanajua tu akifika kwenye 18 hafungi wala hatoi assist.

Tuje kwenye mazuri maana mabaya hayaishi;

Jamaa ni kijana mdogo, labda anafundishika. Nasikia Arteta amemuona kama anamfaa, japo Arteta huyo huyo alimleta Sterling akitumaini kuwa ataweza kumjenga kuwa kama yule Sterling wa C115y. Hakufanikiwa kwa Sterling ila labda atafanikiwa kwa Madueke. Watu walicheka sana walivyochukuliwa Ramsdale na Ben White kwa bei za kijinga ila mwishowe tuliona tumepata vifaa. Tuombe bahati iwe kwetu kwa huyu pia.

Jamaa anajua kabisa mashabiki hawamtaki ila bado amekuja. Labda atakuwa na usongo wa kutupa furaha mashabiki na kutuonyesha kuwa tulikosea kumkataa. Anaweza kupambana na kuwa mchezaji mwenye manufaa kwa timu na kutupa mafanikio.

Mazuri mengine yapo, ila tuyaache kwanza mpaka tutakapoona yale ya maana atakayofanya.
Ni kweli bro Madueke anaweza akaja kuwa mzuri.. Lakini mashabiki wengi wanachoona ni uchezeaji wa pesa kutoa £52m kwa Noni Madueke mchezaji anayekuja kuwa backup. Wakati kwa pesa hiyohiyo unaweza ukapata left winger mzuri kuliko Madueke upande ambao unaonekana tuna shida sana. Currently tunasafa sana upande wa kushoto na mfungaji, maeneo ambayo yanahitajika mkazo sana. Ni kwanini Arsenal bado tunawaza sana kuja kutengeneza na kuwabadilisha wachezaji kuliko kuleta wachezaji wanaokuja kudeliver tayari.. By the time unatengeneza mchezaji wenzako wapo serious na ligi, msimu unaisha unahesabu phase tu.. Arsenal wametumia pesa vibaya sana kwenye huu usajili.. Noni Madueke hana thamani hiyo.. Arsenal kwa level waliyofikia wanahitaji wachezaji wanaokuja kuongeza kitu kuliko kutengeneza wachezaji. Kama kutengeneza wachezaji kuna upcoming wazuri kama Ethan Nwaneri na Max Dowman.
 
Ni kweli bro Madueke anaweza akaja kuwa mzuri.. Lakini mashabiki wengi wanachoona ni uchezeaji wa pesa kutoa £52m kwa Noni Madueke mchezaji anayekuja kuwa backup. Wakati kwa pesa hiyohiyo unaweza ukapata left winger mzuri kuliko Madueke upande ambao unaonekana tuna shida sana. Currently tunasafa sana upande wa kushoto na mfungaji, maeneo ambayo yanahitajika mkazo sana. Ni kwanini Arsenal bado tunawaza sana kuja kutengeneza na kuwabadilisha wachezaji kuliko kuleta wachezaji wanaokuja kudeliver tayari.. By the time unatengeneza mchezaji wenzako wapo serious na ligi, msimu unaisha unahesabu phase tu.. Arsenal wametumia pesa vibaya sana kwenye huu usajili.. Noni Madueke hana thamani hiyo.. Arsenal kwa level waliyofikia wanahitaji wachezaji wanaokuja kuongeza kitu kuliko kutengeneza wachezaji. Kama kutengeneza wachezaji kuna upcoming wazuri kama Ethan Nwaneri na Max Dowman.
Kipindi chenu chakufanya vizuri mnatumia vibaya hiyo ndio tofauti yenu na sisi Chelsea we subiri Chelsea ishinde kombe uone vifaa vitakavyoshushwa
 
Wewe ume Anza kuishabikia arsenal Mwaka gani?, punguza hopes na hii timu ku blunder ndio kipaji chake Kikubwa dunia nzima.

Waulize kina makaveli10, HENRY14, mkorea na hata Flano hii arsenal sio ya kuisemea kudadadeki
Madueke ni backup ya saka
Madueke anapiga wings zote

Kuna namna naiona kwa madueke ita workout

Tuweke maneno ya akiba
 
Madueke ni backup ya saka
Madueke anapiga wings zote

Kuna namna naiona kwa madueke ita workout

Tuweke maneno ya akiba
Ila mkorea kwa kujizima data haujambo aiseee, yaani wewe ni mwendo kuunga mkono juhudi kwa kila kitu anachokifanya Tetea Kiwigi.
Sema mimi sikulaumu wewe, hizi lawama zote anatakiwa kubebeshwa Masingeli.
Chawa mwenzako arsenal2004 sasa hivi anaona hata tabu kucomment kwenye hili jukwaa.
 
Ila mkorea kwa kujizima data haujambo aiseee, yaani wewe ni mwendo kuunga mkono juhudi kwa kila kitu anachokifanya Tetea Kiwigi.
Sema mimi sikulaumu wewe, hizi lawama zote anatakiwa kubebeshwa Masingeli.
Chawa mwenzako arsenal2004 sasa hivi nae anaona hata tabu kucomment kwenye hili jukwaa.
Yaani Rodrigo yupo, sisi tuna hangaika na maduka 😂😂
 
Ebwaneee. Tumemchukua Noni kiu

Tupeni na Badiashile kabisa maana tumeamua kuwasaidia kutatua matatizo yenu.
Yaaani nyie scouting team yenu nyie inakula mishahara hewa kabisaaaa haipati kazi kabisaaaaa yaaani mnakuja kila mwaka darajani kuchukua mwakani tutawapa Badiashile urasa tumeshawaambia mapema kabisa
 
Huyu Dogo kama ilivyokuwa kwa Mudryk, wamuache atimize ndoto ya kucheza Arsenal, otherwise ataingia kwenye Madawa
IMG_20250711_213938.jpg
 
Timu km Chelsea au Manyumbu ukipangia kina Madueke, Noorgad, Kepa, harvertz wanatosha kuwaua, sio lazima wacheze Saka au Eze
 
Back
Top Bottom