Arteta ni mwanafunzi wa Pep kwa asilimia kubwa, hili halina ubishi. Amechukua mbinu nyingi toka kwa Pep akiwa City iliyokuwa na Gundogan, Silva, Bernado, KdB, Aguero, Mahrez, Sane, n.k. Na pengine ameangalia mbinu za Pep akiwa Barca iliyokuwa na Xavi, Messi, Busquet na Iniesta. Kwa lundo la talents kama hizi Pep alikuwa hatumii nguvu kubwa kufikisha ujumbe wake kwa wachezaji na matokeo yanapatikana. Ndio maana jamaa hakuwa anawekeza sana kwenye CF kwenye timu zake.
Ila sasa Arteta anataka kucheza bila CF (eti Merino/Kai) halafu support ya attacking brains inatoka kwa Odegaard, Martinelli, Saka na Rice.
Mngechukua kombe ilikuwa dhihaka kubwa sana kwa ulimwengu wa mpira. Kila siku humu tunawaambia tatizo ni Arteta, ninyi mnawalaumu Kroenke.
Rice sio mchezaji wa 105miliions, hana tofauti na Henderson wa Liverpool ambaye media za uingerezz zilitaka apewe Ballon d Or