Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mna nini Cha kutuambia baada ya kupoteza mchezo?
verifaidi yuza wewe ni wa kukimbia jukwaa?😃
mkorea ungeingilia kati na karate uwavhape PSG maana ndugu zenu arse8 walianza kukabia hadi mikono
Castr nilikuambia ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko aseno kuchukua UEFA
Do you see?
Nikakuahidi Aseno akichukua UEFA mwaka huu najitoa jf 😂
HENRY14 njoo tu angalau usafishe nyota ya kupiga picha na PL yetu maana dah
Kikombe mnachoweza nyie ni Cha kahawa tu
verifaidi yuza wewe ni wa kukimbia jukwaa?😃
mkorea ungeingilia kati na karate uwavhape PSG maana ndugu zenu arse8 walianza kukabia hadi mikono
Castr nilikuambia ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko aseno kuchukua UEFA
Do you see?
Nikakuahidi Aseno akichukua UEFA mwaka huu najitoa jf 😂
HENRY14 njoo tu angalau usafishe nyota ya kupiga picha na PL yetu maana dah
Kikombe mnachoweza nyie ni Cha kahawa tu

