Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

20250508_000750.jpg

🤣
 
Kwa hiyo Bournemouth siyo timu kubwa? Walitufunga kwa style hiyo juzi juzi tu hapa 😃😃
Bournemouth ni team ndogo halafu waliwafunga goli la mkono ambalo hata VAR ilishindwa kuliona (ghost goal)
 
Hao watu sio wa kuwapa airtime. Ni hamnazo kichwani
Hawa mashabiki wa arsenal watafanya vinywaji vikali kama kvant zipigwe marufuku we mtu gani anaejitambua anakosa kuona tu kuwa wao mwisho wao ulifikia hapo yule hamiss 77 masingeli hatumuoni humu alisha jua walipiga bomu mochwari pale kwa madrid ila hawa wakajiona kama washa maliza kila kitu
 
For the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.

Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..

Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..

Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL

Yeah of course it's..

Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date
Mkuu ulijipangia mpaka fainali
 
😁😁😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆😆😆
 

Attachments

  • 20250508_000937.jpg
    20250508_000937.jpg
    42.2 KB · Views: 10
Back
Top Bottom