Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Barcola na Doue wakamatwe haraka ni MATAPELI yaani Dembele anaangalia anashangaa Kwa haya matundu Gonzalo Ramos angefunga hivi vitoto vimeharibu game.
 
Goli mbi
Mwalimu mpaka sasa sina nongwa nae, ila tukubali tu tunahitaji world class palyers, namuangalia saka hapa, kisha namkumbuka yamal jana.. ni vitu viwili tofauti, huyu martineli ndio kabisaaa...
Game inashindwa na mbinu za mwalimu na ubora wa wachezaji. Huyu odegaard kwenye kupika ni mzembe sana, kuna moja kaingia ndani vizuri badala ya kushoot akaamua apasie pembeni 😏

Kuna siku nilisema hawa kina saka na martineli ni average players, mtu akaja kukataa mixer takwimu, ila huo ndio ukweli.

Ngoja tuone second half itakuwaje, kama wakichangamka pale goli 2 zinapatikana.
Goli mbilii mtapataa Jirani wa London ilaaa ss nao psg wataongeza mbilii ,ss hapo itakuwajeee😀😀😀
 
sasa hapo demb baba yupo njee dah huyo ndio atakae haribu rhythm ya arsenal mtaniambia hio ndio wildcard ya kocha Enrique leo
 
Au tuwasubirie mnakuja na come back?

geoff_lea-20250506-0001.jpg
 
Amorim alimwambia Tetea amtafute siku 2 kabla ya mechi ampe techniques za kupiga comeback, Tetea akaleta dharau kua hawezi kumtafuta mtu mwenyewe ni wa kuja tu.
Haya Tetea pambana na hali yako sasa.
 
Back
Top Bottom