Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mh kwani ulikua unashirikiana nao?


Hilo swali labda umuulize Fabrizio Romano maana yeye ndie alietoa hio taarifa.
Mh kwani ulikua unashirikiana nao?


Hilo swali labda umuulize Fabrizio Romano maana yeye ndie alietoa hio taarifa.
Eti tetea KIWIGI😂😂😂 halafu kweli bhana jamaa hana fremTetea kiwigi anasema pamoja na kutolewa kwenye michuano ila bado Yeye ana timu Bora
Kweli aliyewaroga ameshakufa na vifaa vyake😆
Arse8 njooni huku muone namna ya kushinda mechi/makombe ya Ulaya. ZINGATIA AGGREGATESasa nyinyi tabula rasa wa mpira ni wa kufanya nikimbie jukwaa?
Ubao ushabadilika.mkuuArse8 njooni huku muone namna ya kushinda mechi/makombe ya Ulaya. ZINGATIA AGGREGATEView attachment 3328421
dembele umri ushaenda hana mda sana anamaiza soka alafu ni trip shamba trip garage, kiuhalisia saaahv duniani amna wachezaji wa uhakika tunabahaisha tu ivo ivo mambo yanaenda si unaona madrid pale kapiga mahesabu kama yako lakini wapKilichobaki tujadili msimu ujao tu,
What if tukamsajili dembele, merino afundishwe kucheza 6 alafu rice acheze cm
Then tutafute 9 wakueleweka, havertz awe anapokezana na rice au uyo 9.
At the same time nwaner awe intergrated zaid kwenye AM
Hata hio spain yenyewe alikuepo ST david villa, wakati tunawaambia hamuezi kuchukua kombe kwa mipira ya set pieces mkaona tunawachukia .Nafikiri ni kombe la dunia la SA ndiyo Spain ilichukua kombe huku ina viungo watupu bila ST.
Fools would just pass the ball around until they got closer to the goalie, kept passing till the ball got itself into a net
Unapata wapi ujasiri wa kuwaita liverpool jina hilo mzee ? Nauliza tena ujasiri unautoa wapi ? Technically hilo jina ni la kwenu na si liverpool.Huyu PSG katoa timu 3 za Uingereza. Mojawapo ni Loserfools, mabingwa wa PGMOL, PSG hajaangalia sijui wewe hua hautembei peke yako au ni mshika bunduki ni fimbo tu zimetembea
Kwanza ni uongo.Hilo swali labda umuulize Fabrizio Romano maana yeye ndie alietoa hio taarifa. View attachment 3328385
Tulia we papa mpya wa duniaArse8 njooni huku muone namna ya kushinda mechi/makombe ya Ulaya. ZINGATIA AGGREGATEView attachment 3328421
We naye ni mjinga mjinga.Tu
Hata hio spain yenyewe alikuepo ST david villa, wakati tunawaambia hamuezi kuchukua kombe kwa mipira ya set pieces mkaona tunawachukia .
Si ni wewe juzi tu hapa ulikua unaiponda psg false hoper ushasahau maneno yako tena.
Halafu hao psg wenyewe hawana ST na mmekula chuma nje ndani , bora wanangu liverpool na aston villa wameonyesha uhai kuliko kenge nyie .
Spurs , chelsea wote wapo final nyinyi tu mnatia aibu pale london maana hata westham tu europe trophy wanalo.
Spurs akibeba Europa mtatueleza nini kenge nyie
Here we go again. Kaa kushoto kama huna uelewa wa banter names za clubs.Unapata wapi ujasiri wa kuwaita liverpool jina hilo mzee ? Nauliza tena ujasiri unautoa wapi ? Technically hilo jina ni la kwenu na si liverpool.
Team imekuzidi kila kitu unaita loser kweli maana ligi kakuzidi uefa kakuzidi tukisema tuanze kuhesabu miaka 2 nyuma au 3 basi 5 au hata 1 bado kakuzidi kila kitu si uefa si ligi😂😂
Timu ipi iyo ingependa kuwa nafasi ya Arsenal ya kusindikiza kila msimu?Tusiwe down.
It's been a fantastic ride. We will come back stronger next season.
Lazima kuna vitimu vingependa kuwa nafasi yetu.
C O Y G
Gunners for life
💪✊💯🤝
Nafasi yenu ipi?Tusiwe down.
It's been a fantastic ride. We will come back stronger next season.
Lazima kuna vitimu vingependa kuwa nafasi yetu.
C O Y G
Gunners for life
💪✊💯🤝
Wachezaji wenu matapeliReminder
Huchagui timu. Subconsciously timu inakuchagua and it hits you kwamba you are in love with the club.
Baba yangu ni Liverpool wakati Liverpool inastruggle alikomaa na timu yake. Katika crew yangu ya watu wanne kuna Chelsea, Liverpool na united fan na katika vipindi tofauti kila mmoja alikomaa na timu yake.
Unaweza amka na kusema sifuatilii mechi. Ila huwezi amka ukasema kuanzia leo mimi siyo Simba naanza kushabikia Yanga. Ukiweza kufanya hivi wewe ni plastic fan, na ni ngumu sana plastic fan kua na hoja.
Kwanza ni uongo.
Rumours ni za mwaka 2021.
Ila kuanzia huo mwaka hadi leo hua unakumbushia kila ukimiss ushiriki wako.
I don't understand kwanini uniquote kuniambia habari za ushoga. Kama unaenjoy just do it ila huna haja ya kunijulisha kua unaenjoy


Umepanic braza, mimi nimekuquote kwa lengo zuri tu la kukuunga mkono kwenye madai yako kua "Arsenyau Mmelaaniwa" labda kosa langu katika kukuunga mkono ni kuonyesha sababu iliyofanya mpaka mkalaanika. Sijapanic. Najaribu kukuonyesha boundaries.Umepanic braza, mimi nimekuquote kwa lengo zuri tu la kukuunga mkono kwenye madai yako kua "Arsenyau Mmelaaniwa" labda kosa langu katika kukuunga mkono ni kuonyesha sababu iliyofanya mpaka mkalaanika.
Yote kwa yote nisamehe braza kama nimemekukwaza, ila hio laana ya kufukuana mitaro kwenye vyumba vya mazoezi itawatafuna milele, kila msimu nyie mtaishia kua wapenzi watazamaji tu. View attachment 3328633