Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,291
😃nah this is too much🤣🤣🤣
😃nah this is too much🤣🤣🤣
Arse8 mje sasa leo muone jinsiPartey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG
Arteta aje na midfield ya
Merino Rice Ø
Why?
PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana
Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0
PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,
Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,
Sasa kuwamaliza twende na midfield ya
Merino Rice Ø
Hapo Kuna physicality na OOP
Hii ndio tofauti ya sisi na wao. Tofauti ya kuni na mbao.Arse8 mje sasa leo muone jinsi View attachment 3327427ya kuingia fainali za Ulaya. Zingatia aggregate.
Khaa😄😆😂🤣
😂🤣 Mpira hauko hivyo akikosea tunamchana, akipatia atasifiwa, alichokifanya hakijatosha..
Kwahiyo we ukinunua nguo siku moja ndio inakuwa kauka nikuvae, hununui tena😂🤣
Eh aisee acha tu.Kiko wapi?
Waombee peke Yako sifanyi huo ujinga Hilo kombe wakishinda haliandikwi EPLMm nafikil tuiombee arsenal aingie ata fainal make itakua ni aibu ligi kubwa EPL kukosa muwakilishi
PSG wanatisha.Eh aisee acha tu.
Hakipo kokote. PSG walikua hatari on and off the ball
Labda mapenzi yanafanya niwe na macho ya bandia sioni vizuri.PSG wanatisha.
Mwaka huu wakilibeba hili kombe sitashangaa.
Arsenal mlikuwa outclassed kabisa.
Arsenal tuna defense hatuna ST.PSG wanatisha.
Mwaka huu wakilibeba hili kombe sitashangaa.
Arsenal mlikuwa outclassed kabisa.