Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,958
- 32,452
Chuma imeganda kwa hewa.
Bingwa ni Inter Milan. Chukua hii nakupa sasa.Yes.
Inter forward zao zinajua ku score.
Sio wapoteza nafasi kizembe.
Na hii ni advantage waliyonayo.
Kuhusu kukaba inter sioni wakiizuia PSG wasifike golini na kutengeneza nafasi.
Walishindwa kuizuia Barca kucheza sioni pia wakiizuia PSG.
Wanafikika kwa urahisi.
Tatizo la PSG sio wazuri ku score.
Hii inaweza ikawakosti dhidi ya timu inayojua kutumia nafasi kama inter.
Wanawake wanaanzaga Kubeti kwa mtindo huu.Coca nazidi kuwaduwaza watu, na utabiri wangu, ingekua ni betting ningeshazoa mapene mengi.
Jah endelea kuwa upande wangu, niwashangaze zaidi hawa waja. 😂😂😂😂😂
Nimeahidiwa 2M, km utabiri wangu utatimia ktk final, watu wana hasira na mie hatariii.
Woiiiiih.
We kichwani Kuna kopo psg washachanganya watu akili huku🤣🤣🤣🤣Sasa siwezi kusema mlifungwa halafu nikataja mlizofunga.
Labda niseme mlifungana 7 - 6
Mie ni fan lia lia wa futiboli, ila kubet hapana.Wanawake wanaanzaga Kubeti kwa mtindo huu.
Wanaanzaga Ushee Yahaya mwisho wanaanza Mapambano na Harakati za Kubadili karatasi kuwa Hela.
Hao wengine hata nafasi za wazi hawajazipambania kuzipatq ila analaumiwa Saka tuWalikuwa wengi, sasa tumlaumu trossard wakati yeye saka ndio kakosa nafasi ya wazi!??
Imeandikwa Kila mmoja atabeba msalaba wake, kwani kanisani huwa unaenda kupiga selfie 🤳 nini 🤣
Ubingwa haugaiwi JF tena na cocastic.Bingwa ni Inter Milan. Chukua hii nakupa sasa.
Unakua mbishi tena? Haya sawa.Ubingwa haugaiwi JF tena na cocastic.
Fainali ndio itaamua.
Eh aisee acha tu.
Hakipo kokote. PSG walikua hatari on and off the ball
Flano weka na maneno ya akiba


Mzee wa maneno ya akiba, vipi zile picha zako zilizoanza kuvuja bado zipo tuziweke humu?