Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

magnifico wee bwashee em njoo hapaa tusemezane vyediii! Nilikuambiajee?
😂😂😂😂😂 nacheka km mazuri vilee. Woiiiih
 
Coca nazidi kuwaduwaza watu, na utabiri wangu, ingekua ni betting ningeshazoa mapene mengi.

Jah endelea kuwa upande wangu, niwashangaze zaidi hawa waja. 😂😂😂😂😂

Nimeahidiwa 2M, km utabiri wangu utatimia ktk final, watu wana hasira na mie hatariii.
Woiiiiih.
Wanawake wanaanzaga Kubeti kwa mtindo huu.
Wanaanzaga Ushee Yahaya mwisho wanaanza Mapambano na Harakati za Kubadili karatasi kuwa Hela.
 
Wanawake wanaanzaga Kubeti kwa mtindo huu.
Wanaanzaga Ushee Yahaya mwisho wanaanza Mapambano na Harakati za Kubadili karatasi kuwa Hela.
Mie ni fan lia lia wa futiboli, ila kubet hapana.
Nililiwa mara moko, sitaki tena hata kusikia.
😂😂😂😂😂
 
Walikuwa wengi, sasa tumlaumu trossard wakati yeye saka ndio kakosa nafasi ya wazi!??
Imeandikwa Kila mmoja atabeba msalaba wake, kwani kanisani huwa unaenda kupiga selfie 🤳 nini 🤣
Hao wengine hata nafasi za wazi hawajazipambania kuzipatq ila analaumiwa Saka tu
 
downloadfile(8).jpg
 
Flano weka na maneno ya akiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee wa maneno ya akiba, vipi zile picha zako zilizoanza kuvuja bado zipo tuziweke humu?
Masingeli anakwambia mpira ni mchezo wa wazi, kwa ule ukuta wa Psg pamoja na lile kipa lao Donnarumma Mashabiki wa Arsenalia mlitegemea kabisa kina Sakanyoka, Moringo na Matembele watapiga comeback?
1746634202636.jpg
 
Kilichobaki tujadili msimu ujao tu,
What if tukamsajili dembele, merino afundishwe kucheza 6 alafu rice acheze cm
Then tutafute 9 wakueleweka, havertz awe anapokezana na rice au uyo 9.
At the same time nwaner awe intergrated zaid kwenye AM
 
Mna nini Cha kutuambia baada ya kupoteza mchezo?
verifaidi yuza wewe ni wa kukimbia jukwaa?😃
mkorea ungeingilia kati na karate uwavhape PSG maana ndugu zenu arse8 walianza kukabia hadi mikono
Castr nilikuambia ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko aseno kuchukua UEFA
Do you see?
Nikakuahidi Aseno akichukua UEFA mwaka huu najitoa jf 😂
HENRY14 njoo tu angalau usafishe nyota ya kupiga picha na PL yetu maana dah
Kikombe mnachoweza nyie ni Cha kahawa tu
 
Leo kuna jambo moja litatokea kati ya haya mawili

Either Arsenal ashinde au PSG akandwe pale pale kwake

#COYG [emoji1491]View attachment 3327103
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jana kulikua kuna jambo moja lazima litokee kati ya haya mawili

Either Arsenal ashindwe au PSG amkande goli nyingi sana pale kwake.
1746692079461.jpg
 
Kilichobaki tujadili msimu ujao tu,
What if tukamsajili dembele, merino afundishwe kucheza 6 alafu rice acheze cm
Then tutafute 9 wakueleweka, havertz awe anapokezana na rice au uyo 9.
At the same time nwaner awe intergrated zaid kwenye AM
Baada ya kukosa vyote
Stori za msimu ujao zinaanza tena
Kweli aseno ni Netflix iliyochangamka
 
Arsenal wanaendela kujipiga wenyewe na butwaa kwa msimu wa tatu huu mfululizo and they shamefully act surprised na matokeo ya jana
 

Attachments

  • Screenshot_20250508-112556_Instagram.jpg
    Screenshot_20250508-112556_Instagram.jpg
    462.1 KB · Views: 20

Similar Discussions

Back
Top Bottom