Zionekane nyingi sanaAnataka kuamisha magoli.
Yes.Arsenal tuna defense hatuna ST.
Inter wana team inakaba (Players wao hua wanakua kama na situation unawareness) na wana forward zinascore.
Fainali siyo nyepesi
Kwahiyo 7 siyo nyingi mzee?Zionekane nyingi sana
7 nyingi mkuu.Kwahiyo 7 siyo nyingi mzee?
Yani kuamini asenane wanaweza kutoka na kitu ni tatizo la akili , manjesta yetu inatupa furaha mkuu😁7 nyingi mkuu.
Ila ukionesha ni 7-6 mtizamo unabadilika kidogo
Jana si tushamaliza mkuu🤣
Tot bingwa👀Yani kuamini asenane wanaweza kutoka na kitu ni tatizo la akili , manjesta yetu inatupa furaha mkuu😁
Tunapiga kama mbwa wasokoni kaa kwa kutuliaTot bingwa👀
Wewe ushagongwa nje ndani tulia usitafute faraja Kwa timu zingineHuyu PSG katoa timu 3 za Uingereza. Mojawapo ni Loserfools, mabingwa wa PGMOL, PSG hajaangalia sijui wewe hua hautembei peke yako au ni mshika bunduki ni fimbo tu zimetembea
Nikubali? Au nikuache na maumivu yako? LolTupinge🤙
Walikuwa wengi, sasa tumlaumu trossard wakati yeye saka ndio kakosa nafasi ya wazi!??Khaa😄😆
Mnataka mumvunje miguu Saka wa watu
Kwani mfungaji alikuwa pekeyake?
Nazingua.7 nyingi mkuu.
Ila ukionesha ni 7-6 mtizamo unabadilika kidogo
Jana si tushamaliza mkuu🤣
Sasa siwezi kusema mlifungwa halafu nikataja mlizofunga.Kwa mujibu wa Castr hizo 6 sio goli.
Goli ni hizo 7.
Tumuacheni huyu ndugu yetu bado hayuko sawa na ile migoli ya kikatili ya jana ya Fabian Ruiz na Hakimi.