Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu PSG katoa timu 3 za Uingereza. Mojawapo ni Loserfools, mabingwa wa PGMOL, PSG hajaangalia sijui wewe hua hautembei peke yako au ni mshika bunduki ni fimbo tu zimetembea
 
Asenane wanashangaa sisi manjesta tunatoa wapi furaha😁
1746676391820.jpg
 
Arsenal tuna defense hatuna ST.

Inter wana team inakaba (Players wao hua wanakua kama na situation unawareness) na wana forward zinascore.

Fainali siyo nyepesi
Yes.

Inter forward zao zinajua ku score.

Sio wapoteza nafasi kizembe.

Na hii ni advantage waliyonayo.

Kuhusu kukaba inter sioni wakiizuia PSG wasifike golini na kutengeneza nafasi.

Walishindwa kuizuia Barca kucheza sioni pia wakiizuia PSG.

Wanafikika kwa urahisi.

Tatizo la PSG sio wazuri ku score.

Hii inaweza ikawakosti dhidi ya timu inayojua kutumia nafasi kama inter.
 
Narudia tena pamoja Chelsea yangu mbovu ila itabeba kombe kabla ya prime aseno
 
Huyu PSG katoa timu 3 za Uingereza. Mojawapo ni Loserfools, mabingwa wa PGMOL, PSG hajaangalia sijui wewe hua hautembei peke yako au ni mshika bunduki ni fimbo tu zimetembea
Wewe ushagongwa nje ndani tulia usitafute faraja Kwa timu zingine
 
Kila mtu anakuja kufananisha loss yake na ya Arsenal. Loserfools wanakwambia bora sisi tumetolewa kwa penalty
 
Kwa mujibu wa Castr hizo 6 sio goli.

Goli ni hizo 7.

Tumuacheni huyu ndugu yetu bado hayuko sawa na ile migoli ya kikatili ya jana ya Fabian Ruiz na Hakimi.
Sasa siwezi kusema mlifungwa halafu nikataja mlizofunga.

Labda niseme mlifungana 7 - 6
 
Back
Top Bottom