Hana wachezaji wenye Quality ya akina Pedri mkuu.Arsenal mbona anategemea mipira long ball na faulo tu basi hana mipango ya kati kati ya uwanja kabisaaa
Wajinga sanaYaani kwa rafu zote mnazocheza na penalty ya wazi walionyimwa Psg, Arsenyau bado wanalalamika kua refa yupo dhidi yao
![]()
Hakika umesema kweli mkuuu nimekuelwa maaana mpka kipa anakuja kupiga fauloHana wachezaji wenye Quality ya akina Pedri mkuu.
Hila za Refa zitashindwa 😆Zile rafu alizokua anacheza Timbulo hakustahili kumaliza dakika 45 bila ya kula umeme, yaani Kvicha alichokua anamfanyia ni sawa na mama Fatuma anavyo vigeuzaga geuzaga vitumbua na spoku.
Mkuuu Flano umenichekesh sna eti TimbuloZile rafu alizokua anacheza Timbulo hakustahili kumaliza dakika 45 bila ya kula umeme, yaani Kvicha alichokua anamfanyia ni sawa na mama Fatuma anavyo vigeuzaga geuzaga vitumbua na spoku.
Tupo nyumbani game imeshakua ngumu. Tuwe makini sanaHii game ishakua na ushindi mwembamba kwa arsenal
Plan B ya arsenal itakua kuimwaga sare
Bado sana.. tunawaweka 3-1Tupo nyumbani game imeshakua ngumu. Tuwe makini sana