midomo imewaponza kesho nitaangalia vipindi vyote vya michezoMnadhani uefa ni rahisi kama kunywa chak siyo?
Uliweka goli 2/3?Oya tucash out ama?
Hamna huo uwezo it's very clear mbona mapenz yatakutesa shida watu wana relay kweny game ya Madrid hao ni wabovu kuwapiga sio kujiweka fake fantasy kuwa mshabeba kombe noo wame bondwa 4-0 3-2 5-2 na Barcelona aggregate 12-4 si mmepiga bomu mochwariKuwapiga hawa tutawapiga tu.
Exactly 💯 😂 😃 😀 😃Barca anabeba hii ndoo, 😂😂😂😂😂