Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,530
- 9,639
Yote haya kasababisha masingeli
Lakini hujui kitu kuhusu mpira. Utaelewa kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani kwa rafu zote mnazocheza na penalty ya wazi walionyimwa Psg, Arsenyau bado wanalalamika kua refa yupo dhidi yao[emoji16][emoji16][emoji16]
Nilimsahau na man city lakn hata arsernal wakishinda watakuwa wamepata somo kubwaGame on
Usimalize maneno
kocha ainaibebaje mkuu 🤣Penalt yetu ile clear kabisa kocha ameibetia ASSANAL naona.
Asante mkuu. NimefanikiwaKoora live
Hana wachezaji wenye Quality ya akina Pedri mkuu.Arsenal mbona anategemea mipira long ball na faulo tu basi hana mipango ya kati kati ya uwanja kabisaaa
Wajinga sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani kwa rafu zote mnazocheza na penalty ya wazi walionyimwa Psg, Arsenyau bado wanalalamika kua refa yupo dhidi yao[emoji16][emoji16][emoji16]