Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,210
- 20,954
Huyu mtoto Vitinha kumuangalia jinsi anavyogeuka na kugawa pasi inapendeza sana
Mwaka Jana tuliishia quarter finalThis time cjui mtasema malengo yenu yalikuwa nn 😂
Lakini hujui kitu kuhusu mpira. Utaelewa kweli?Yaani kwa rafu zote mnazocheza na penalty ya wazi walionyimwa Psg, Arsenyau bado wanalalamika kua refa yupo dhidi yao
![]()
Nilimsahau na man city lakn hata arsernal wakishinda watakuwa wamepata somo kubwaGame on
Usimalize maneno
kocha ainaibebaje mkuu 🤣Penalt yetu ile clear kabisa kocha ameibetia ASSANAL naona.
Asante mkuu. NimefanikiwaKoora live