Wangwana wa kuweka mkeka tumeshachungulia PSG anashinda. Weka mkeka wako safiii. Ila kama ni muoga weka Double chance, droo au PSG ashinde.😂😂 yani wanatumia scenario ya madrid kucheza na psg yani mimi tu nilijua madrid hana mpira wakufunga arsenal na nikaombea apite ili akutane na psg maana wote hawa wana quality sio class
ATTACKING
Madrid hawakuweza kuwa lethal kwa arsenal maana arsenal wana strongest backline kwahio hatari yao ilikuwa ni ngumu ku penetrate kwa kutokea kati kwa mbappe mpaka hapo usha mpunguza attacking dynamic ya team mpinzani wakawa wanatumia wing maana kwa kutokea kati mbappe hawez toboa...sasa hawa jamaa wanakutana na timu iko lethal in both area in the front Three yani wote ni pure wings wenye chemistry ya ku interchange kama false 9 wote hao lazima wata create chance nyingi hofu tu hawapo vizur kwenye finishing na hio inaweza kuwa downfall yao lakin kama leo wote wame amka vizur andaa game ya leo GG Lazima
DEFENSE
Yani ukuta wa madrid ulivyo mbovu arsenal wakapata advantage ya 2 direct free kick ambayo ilibadilisha tempo ya mchezo kuwa upande wao na kuongeza bao la mwishon tena kwa ubovu huo huo defense line ya madrid wameruhus magoli kipind cha pili dakika za jioni sasa hapa wanaenda kukutana na hawa jamaa pembeni MENDEZ * PACHO * MARQUIS* HAKIMI brooo hawa wana kaba wanashambulia balaa Liverpool game ya kwanza kwa psg kapata off target 2 on target 1 the mighty best team in the world against hao underdogs
MIDFIELDER
Hapa sitazungumza sana yani RUIZ*VITINAH*NEVEZ
Kwa ODE*RICE*MERINO Ahaha tungoje muda ufike wote tuburudike
HUU MPIRA TU NO HARD FEELINGS LAKIN ARSENAL WAJITATHMINI HIO CONFIDENCE YAO LEO
Nauza mkeka bei poa.
