Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😂😂 yani wanatumia scenario ya madrid kucheza na psg yani mimi tu nilijua madrid hana mpira wakufunga arsenal na nikaombea apite ili akutane na psg maana wote hawa wana quality sio class

ATTACKING

Madrid hawakuweza kuwa lethal kwa arsenal maana arsenal wana strongest backline kwahio hatari yao ilikuwa ni ngumu ku penetrate kwa kutokea kati kwa mbappe mpaka hapo usha mpunguza attacking dynamic ya team mpinzani wakawa wanatumia wing maana kwa kutokea kati mbappe hawez toboa...sasa hawa jamaa wanakutana na timu iko lethal in both area in the front Three yani wote ni pure wings wenye chemistry ya ku interchange kama false 9 wote hao lazima wata create chance nyingi hofu tu hawapo vizur kwenye finishing na hio inaweza kuwa downfall yao lakin kama leo wote wame amka vizur andaa game ya leo GG Lazima

DEFENSE

Yani ukuta wa madrid ulivyo mbovu arsenal wakapata advantage ya 2 direct free kick ambayo ilibadilisha tempo ya mchezo kuwa upande wao na kuongeza bao la mwishon tena kwa ubovu huo huo defense line ya madrid wameruhus magoli kipind cha pili dakika za jioni sasa hapa wanaenda kukutana na hawa jamaa pembeni MENDEZ * PACHO * MARQUIS* HAKIMI brooo hawa wana kaba wanashambulia balaa Liverpool game ya kwanza kwa psg kapata off target 2 on target 1 the mighty best team in the world against hao underdogs

MIDFIELDER

Hapa sitazungumza sana yani RUIZ*VITINAH*NEVEZ
Kwa ODE*RICE*MERINO Ahaha tungoje muda ufike wote tuburudike

HUU MPIRA TU NO HARD FEELINGS LAKIN ARSENAL WAJITATHMINI HIO CONFIDENCE YAO LEO
Wangwana wa kuweka mkeka tumeshachungulia PSG anashinda. Weka mkeka wako safiii. Ila kama ni muoga weka Double chance, droo au PSG ashinde.

Nauza mkeka bei poa.
 
Siku ya mechi ndio mavi yamewajaa mbwambwambwa shenzi mlishajiona mpo fainali eti kumbe bado mlima hamjaumaliza mkimaliza Leo mnasubiriwa ufaransa🤣🤣🤣🤣🤣
Wanajamba jamba tu sahizi huko walipo mpk uzi wameutelekeza.
 
Game ya leo naiwazia bila partey yule mpuuzi aliwezaje kufanya upuuzi ule na anajua game ijayo ataikosa.. kioe alichokifanya declan rice ni hali ya upambanaji wa hali ya juu, tunahitaji watu wa namna ile, yule hata kuwa captain anafaa... Sio fundi kiviile, ila spirit ya upambanaji ipo juu sana, wachezaji wa diego simeone wale
 
Game ya leo naiwazia bila partey yule mpuuzi aliwezaje kufanya upuuzi ule na anajua game ijayo ataikosa.. kioe alichokifanya declan rice ni hali ya upambanaji wa hali ya juu, tunahitaji watu wa namna ile, yule hata kuwa captain anafaa... Sio fundi kiviile, ila spirit ya upambanaji ipo juu sana, wachezaji wa diego simeone wale
Unaiwazia unacheza wewe
 
Game ya leo naiwazia bila partey yule mpuuzi aliwezaje kufanya upuuzi ule na anajua game ijayo ataikosa.. kioe alichokifanya declan rice ni hali ya upambanaji wa hali ya juu, tunahitaji watu wa namna ile, yule hata kuwa captain anafaa... Sio fundi kiviile, ila spirit ya upambanaji ipo juu sana, wachezaji wa diego simeone wale
Itakua safi sana hii yellow ya Partey kua a blessing in disguise
 
Let's use their former weapon to cook them.
FB_IMG_1745912668320.jpg
 
For the sake of EPL diginity we need to eliminate PSG by any means possible.

Naona kuna media za ufaransa zimeanza kuandika kuwa PSG kwa ubora walionao sasa wanaweza kuitawala hata ligi ya England.

Sasa yapaswa tuwathibitishie kuwa hao walevi wa Paris walimuangukia liverpool tu na mshamba mwenzie Aston villa na Epl bado ina timu bora kuliko hata hizo alizozifunga.

I go with 3-1 victory to gunners.

COYG
 
😂😂 yani wanatumia scenario ya madrid kucheza na psg yani mimi tu nilijua madrid hana mpira wakufunga arsenal na nikaombea apite ili akutane na psg maana wote hawa wana quality sio class

ATTACKING

Madrid hawakuweza kuwa lethal kwa arsenal maana arsenal wana strongest backline kwahio hatari yao ilikuwa ni ngumu ku penetrate kwa kutokea kati kwa mbappe mpaka hapo usha mpunguza attacking dynamic ya team mpinzani wakawa wanatumia wing maana kwa kutokea kati mbappe hawez toboa...sasa hawa jamaa wanakutana na timu iko lethal in both area in the front Three yani wote ni pure wings wenye chemistry ya ku interchange kama false 9 wote hao lazima wata create chance nyingi hofu tu hawapo vizur kwenye finishing na hio inaweza kuwa downfall yao lakin kama leo wote wame amka vizur andaa game ya leo GG Lazima

DEFENSE

Yani ukuta wa madrid ulivyo mbovu arsenal wakapata advantage ya 2 direct free kick ambayo ilibadilisha tempo ya mchezo kuwa upande wao na kuongeza bao la mwishon tena kwa ubovu huo huo defense line ya madrid wameruhus magoli kipind cha pili dakika za jioni sasa hapa wanaenda kukutana na hawa jamaa pembeni MENDEZ * PACHO * MARQUIS* HAKIMI brooo hawa wana kaba wanashambulia balaa Liverpool game ya kwanza kwa psg kapata off target 2 on target 1 the mighty best team in the world against hao underdogs

MIDFIELDER

Hapa sitazungumza sana yani RUIZ*VITINAH*NEVEZ
Kwa ODE*RICE*MERINO Ahaha tungoje muda ufike wote tuburudike

HUU MPIRA TU NO HARD FEELINGS LAKIN ARSENAL WAJITATHMINI HIO CONFIDENCE YAO LEO
Hujui mpira. Unaendesha na hisia. Kwa kifupi una zero football IQ.
 
Kuna mtu mmoja kaja hapa anatuambia Vitinha atatuua.

But last game Vitinha alikuepo pia.

Last game na hii Luis kabadilisha watu 3 hivi, Kvara, Dembele na Luiz. Wengine wote last match walikuepo.

Dembele ni mzuri miguu yote, atadribble na kushoot kwa mguu wowote ana pace, skills, flair, vision ila Dembele siyo finisher mzuri. Ni chance creator zaidi kuliko scorer.

It explains kwanini wao hutengeneza chances nyingi ila kuscore hua low kiasi.

Kvara is good, wazia Mitoma ila minus uoga and more ego. Barcola mzuri kwenye wing pia.

So on paper their forward iko lit na inatakiwa kuscore left, right and centre. Donnaruma ni hatari, Saka anamjua huyu mtu.

Tunakutana na elite team on paper ambayo inaweza rely kwenye individual brilliance na ikawalipa.

Let the best tactics win
 
Strength:
pass 5 wapo golini, playing style yao ya aina moja
Weaknesses:
wanakatika sana, wapo uchi sana, wanaacha sana mashimo

Arsenal
Strength:
wapo compact sana, pass 4 wapo golini, wana playing style nyingi, dark arts playing style, wapo home
Weaknesses: None

.


Screenshot_20250429_214307_FotMob.jpg
 
Strength:
pass 5 wapo golini, playing style yao ya aina moja
Weaknesses:
wanakatika sana, wapo uchi sana, wanaacha sana mashimo

Arsenal
Strength:
wapo compact sana, pass 4 wapo golini, wana playing style nyingi, dark arts playing style, wapo home
Weaknesses: None

.


View attachment 3320121
Hapo kwenye weaknesses: none 😀😀. Si hatuna striker wa kueleweka na hatuna Partey leo? 😀😀
 
Back
Top Bottom