Huu Champions
Member
- Jun 27, 2024
- 54
- 71
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Matapeli tu nyie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Matapeli tu nyie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Spurs, Brighton na Arsenyau hizi timu bado zina mentality ya mid table team, hata msimu uwaendee vizuri kiasi gani lakini lazima watawadiscourage mashabiki wao, na mwisho wa msimu wanatoka mikono mitupu.
Ni mara 100 ushabikie N.Forest au Leicester City kuliko kushabikia timu tajwa hapo juu ambazo zote ni Fungu la kukosa Fc.
Najua ulipo sasa unaumia kweli kweli🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu hii siyo ya chelsea ya msimu uliyoisha......this is new chelsea.T
Thubutu
Yah hamisi ndio alikuwa ananibishiaMi sijawahi kukubishia 😅
Nyie endeleeni na hedhi tuu.Yani Chelsea na Man U tutajitafuta na kujipata, tutachukua makombe, hawa madogo tutawakuta wapo hapa hapa kuzidi kujazana upepo
Palmer anawekwa benchi na Saka timu ya taifaHivi kuna Pimbi gani hapo Arsenyetoz wa kulingana na Cole Palmer kiwango ?
Saka naye ni mchezaji kweli au tapeli tu ?Palmer anawekwa benchi na Saka timu ya taifa
Mbona naona hapa laivuscore 1-1 hyo la pili kafunga baltazary nn😁
Massive goal
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa kama tapeli anamuweka benchi mchezaji unayemsujudu hii inatakiwa kumaanisha nini?Saka naye ni mchezaji kweli au tapeli tu ?
Mchezaji gani anaitwa saka ,wewe uliona wapi ?
Kumbe dogo anapiga nyetoNetflix,,,,,
Always next season!!!!!! Majinga kabisa, unataka kushinda EPL na UCL na kiazi trossard? Reject ya Madrid Ode ? ST Jesus ? Mpiga nyeto Saka ?
Arteta anawauza tu hakuna kitu,,,,mtakuja kustuka mda umeenda ! Fukuza benchi lote la ufundi ,! Mtamtegemea Martineli eti game changer mna akili timamu?
Hakuna ubingwa unaoamuliwa kwa konaUchukue ubingwa kwa kutegemea kona![]()


wataishia kusindikiza watu kila msimu, Arsenyo ni BEST MAIDS FC. Mengine ntakubishia ila hili UMESEMA UKWELI TUPUEti Odegaard akupeni ubingwa wa ligi yani ashindwe Fabregas aje aweze Odegaard
Unaongelea timu ya taifa gani? huyo saka baada ya kuanza kula mbao ndio timu ikaanza kushinda, sijui kama atakaa aanzishwe tena. Wameona anawacheleweshea mafanikio. Na nyie jiongezeni tafteni wachezaji wa kueleweka. Saka Martinel Ode. watawachomesha kila mwaka mnaoneka wehu.Palmer anawekwa benchi na Saka timu ya taifa