Huu Champions
Member
- Jun 27, 2024
- 54
- 71
Nawakumbusha tena kile nilichosema hapa.
Nilisema ivi: Chelsea huyu mnaemcheka ataamka usingizini na kuchukua ubingwa kabla yenu ambao kila msimu mpo kwenye form na mnapigania title Contender....sasa ivi mmebaki kuchawia chelsea kila anapocheza.
SWali dogo tu. Je Chelaea ndiyo imewazuia msibebe ubingwa Misimu yote mitatu ambayo mpo on fire?
Nilisema ivi: Chelsea huyu mnaemcheka ataamka usingizini na kuchukua ubingwa kabla yenu ambao kila msimu mpo kwenye form na mnapigania title Contender....sasa ivi mmebaki kuchawia chelsea kila anapocheza.
SWali dogo tu. Je Chelaea ndiyo imewazuia msibebe ubingwa Misimu yote mitatu ambayo mpo on fire?