Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Spurs, Brighton na Arsenyau hizi timu bado zina mentality ya mid table team, hata msimu uwaendee vizuri kiasi gani lakini lazima watawadiscourage mashabiki wao, na mwisho wa msimu wanatoka mikono mitupu.
Ni mara 100 ushabikie N.Forest au Leicester City kuliko kushabikia timu tajwa hapo juu ambazo zote ni Fungu la kukosa Fc.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nawakumbusha tena kile nilichosema hapa.

Nilisema ivi: Chelsea huyu mnaemcheka ataamka usingizini na kuchukua ubingwa kabla yenu ambao kila msimu mpo kwenye form na mnapigania title Contender....sasa ivi mmebaki kuchawia chelsea kila anapocheza.


SWali dogo tu. Je Chelaea ndiyo imewazuia msibebe ubingwa Misimu yote mitatu ambayo mpo on fire?
 
Netflix,,,,,

Always next season!!!!!! Majinga kabisa, unataka kushinda EPL na UCL na kiazi trossard? Reject ya Madrid Ode ? ST Jesus ? Mpiga nyeto Saka ?

Arteta anawauza tu hakuna kitu,,,,mtakuja kustuka mda umeenda ! Fukuza benchi lote la ufundi ,! Mtamtegemea Martineli eti game changer mna akili timamu?
Kumbe dogo anapiga nyeto
 
Palmer anawekwa benchi na Saka timu ya taifa
Unaongelea timu ya taifa gani? huyo saka baada ya kuanza kula mbao ndio timu ikaanza kushinda, sijui kama atakaa aanzishwe tena. Wameona anawacheleweshea mafanikio. Na nyie jiongezeni tafteni wachezaji wa kueleweka. Saka Martinel Ode. watawachomesha kila mwaka mnaoneka wehu.
 
Back
Top Bottom