Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pumbavu kabisa. Timu ambayo itakufanyia hii man marking unawawekeaje Kai?
 
Kamdomo Fc A.k.a Arsevar
Yaani goli la kwanza offside watu wa Var wakawabeba, goli la pili na lenyewe offside chumba cha Var wakaangalia usoni ni vile tu uso umeumbwa na haya.
 
Hatuna kocha,hatujawahi kushinda Partey akianza kama beki,na anaendelea kumchezesha huyu mpuuzi
nani tena kaka timu yetu ina mentality ya kitoto
kocha ana hype za kijinga
kuna ulazima gani wa kai kuaanza kila game
kulikuwa na ulazima wa joginho kuanza leo
kulikuwa na ulazima wa partey kuanzia full back
Arsenal players na kocha wetu hatuna maturity hasa kwenye nyakati za muhimu katika ligi
Ovyoooooo
we are going nowhere until we find proper striker
 
Kuna jamaa nimepishana nae anaimba "kasongoo mbona wewo"""" nn maana yake wakuu ? Nini kimetokea ?
 
Mimi nilitegemea martinell au jesus mmoja aingie no9 sub moja tu nyingine ya odegaard sio mby nwaneri ni mzuri kushoot ila martinell winger inamkataaa kbs
 
Trossard sio mchezaji wa first eleven, hua ni game changer mzuri sana akitokea sub, ni vile tu mna kocha asie malengo ya ubingwa, Tetea akili yake hua inawaza tu kuingia top4, ndio maana kila msimu anarudia makosa yaleyale.
Nakukattalia trossard hata akiwa na mpira unapata gootball idea nini anachotak kufanya na malengo lkn martinell anacheza macho yanaangalia nyasi arteta ambadili namba huyu mtt acheze 9 from substitution
 
Back
Top Bottom