Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaongelea timu ya taifa gani? huyo saka baada ya kuanza kula mbao ndio timu ikaanza kushinda, sijui kama atakaa aanzishwe tena. Wameona anawacheleweshea mafanikio. Na nyie jiongezeni tafteni wachezaji wa kueleweka. Saka Martinel Ode. watawachomesha kila mwaka mnaoneka wehu.
We bwana usitake kujifanya chizi.

Kama hata hujui timu ya taifa ya Cole na Saka hapa nikikujibu si utaona nakuonea
 
Kumuweka benchi Cole Palmer si Kwa sababu Saka ana kiwango kuliko Palmer ni uduwanzi tu wa makocha wa timu ya England na mifumo yao ya ovyo na kukaririshwa tu wachezaji ,ndio maana litimu lao limekuwa la ovyo miaka yote
Anamuweka benchi au hamuweki benchi?
 
We bwana usitake kujifanya chizi.

Kama hata hujui timu ya taifa ya Cole na Saka hapa nikikujibu si utaona nakuonea
We ndio unajitoa ufahamu! Ndio mana nikakuuliza timu gani ya taifa saka anamuweka Palmer benchi? Labda kama una timu yako ya taifa huko mtaani kwenu ambayo Saka anamuweka Palmar benchi.
Kwa sasa Saka anakula benchi labda kama hujaangalia hizi mechi za mwisho za England. Na baada ya kuanza kula benchi tu england ndio ikaanza kushinda, tena goli nyingi.
 
We ndio unajitoa ufahamu! Ndio mana nikakuuliza timu gani ya taifa saka anamuweka Palmer benchi? Labda kama una timu yako ya taifa huko mtaani kwenu ambayo Saka anamuweka Palmar benchi.
Kwa sasa Saka anakula benchi labda kama hujaangalia hizi mechi za mwisho za England. Na baada ya kuanza kula benchi tu england ndio ikaanza kushinda, tena goli nyingi.
Naona umeandika hivi

"Kwa sasa Saka anakula benchi labda kama hujaangalia mechi za mwisho za England"

Mimi hua sipendi watu wabishi ambao hata hawajui kitu ila wanakomaa kuleta ubishi wa kitoto. Hizi ni tabia za mashabiki wa united naona chelsea mnazivamia hizi tabia.

Hizo mechi unazosema England kashinda nyingi Palmer hakuanza. Na siyo tu hakuanza hata kwenye kikosi hakuitwa badala yake aliitwa Madueke.

Tangu kocha ni Southgate England chaguo la kwanza ni Saka. Hata alipokuja Lee Carsley chaguo la kwanza ni Saka. Katika career ya timu ya taifa Palmer amewahi kuanza mara mbili tu maisha yake yote.

Na ya mwisho anaanza ni kwenye game na Finland anatolewa anaingizwa Madueke. Na hapo ameanza kwakua Saka hata kuitwa hakuitwa timu ya taifa.

Ikatokea Palmer na Saka wameitwa timu ya taifa ni lazima Saka aanze kama mechi ni ya muhimu. Mechi ambazo Palmer kaanza ni ambazo Saka hakuepo kabisa timu ya taifa.

Sasa nitajie ni mechi gani Palmer kaanza na wakashinda nyingi England
 
Huyu Palmer mara ya kwanza anaanza timu ya taifa ni wanacheza na Bosnia and Herzegovina mara ya pili wanacheza na Finland.

Na hajawahi kuanza tena, tena, tena, tena.

Ila watu wanaleta ushabiki na ujuaji wanaandika hadi uongo hizi ni tabia za ajabu kabisa. Kwa sababu hata ukiongopa haitamaanisha unachotamani kiwe ndiyo ukweli wenyewe.

Is Palmer good? Yes.

Haina haja hata ya kubisha kwakua kweli yuko vizuri.

Ni sawa mtu aseme Amad ni mbovu. Inakua ubishi usio na haja.

Timu ya taifa? Anaanza benchi. Whole life. Haina haja ya kubisha kwakua ndiyo ukweli.
 
We ndio unajitoa ufahamu! Ndio mana nikakuuliza timu gani ya taifa saka anamuweka Palmer benchi? Labda kama una timu yako ya taifa huko mtaani kwenu ambayo Saka anamuweka Palmar benchi.
Kwa sasa Saka anakula benchi labda kama hujaangalia hizi mechi za mwisho za England. Na baada ya kuanza kula benchi tu england ndio ikaanza kushinda, tena goli nyingi.
Saka winga... palmer kiungo mshambuliaji... mnabishania nini hapo?
 
Saka winga... palmer kiungo mshambuliaji... mnabishania nini hapo?
Palmer hawezi kucheza right wing hana ufanisi huo. Winger inamtaka mtu anaeweza kurudi kuja kumsaidia full back yake kwenye mipira ya kileo hii. Namuona zaidi kama kiungo mshambuliaji, eneo ambalo yupo Foden, Judi,.

Hivyo kwa ule upande Saka ataendelea kuanza labda awe injury au mechi ambazo haitwi kwa ajili ya kupumzishwa
 
Naona umeandika hivi

"Kwa sasa Saka anakula benchi labda kama hujaangalia mechi za mwisho za England"

Mimi hua sipendi watu wabishi ambao hata hawajui kitu ila wanakomaa kuleta ubishi wa kitoto. Hizi ni tabia za mashabiki wa united naona chelsea mnazivamia hizi tabia.

Hizo mechi unazosema England kashinda nyingi Palmer hakuanza. Na siyo tu hakuanza hata kwenye kikosi hakuitwa badala yake aliitwa Madueke.

Tangu kocha ni Southgate England chaguo la kwanza ni Saka. Hata alipokuja Lee Carsley chaguo la kwanza ni Saka. Katika career ya timu ya taifa Palmer amewahi kuanza mara mbili tu maisha yake yote.

Na ya mwisho anaanza ni kwenye game na Finland anatolewa anaingizwa Madueke. Na hapo ameanza kwakua Saka hata kuitwa hakuitwa timu ya taifa.

Ikatokea Palmer na Saka wameitwa timu ya taifa ni lazima Saka aanze kama mechi ni ya muhimu. Mechi ambazo Palmer kaanza ni ambazo Saka hakuepo kabisa timu ya taifa.

Sasa nitajie ni mechi gani Palmer kaanza na wakashinda nyingi England
Mechi za mwisho ameanza hajaanza?
 
Back
Top Bottom