AnaongozwaChelsea game ya Leo anashinda
Watachomoa tu spurs ni kizungumkuti japo nafahamu Toka enzi za kina Micheal Dawson Chelsea alikua anasafa sana kumfunga spursAnaongozwa
La piliWatachomoa tu spurs ni kizungumkuti japo nafahamu Toka enzi za kina Micheal Dawson Chelsea alikua anasafa sana kumfunga spurs
ThubutuWatachomoa tu spurs ni kizungumkuti japo nafahamu Toka enzi za kina Micheal Dawson Chelsea alikua anasafa sana kumfunga spurs
Shauri Ako Spurs nyuma panavuja sana Goli zote zinarudi hiziT
Thubutu
Hivii hii timu ishawahi kuwa na malengo yoyote kama timu ya mpiraa au ndo imradi imecheza mechii.!!


Hii timu haina tofauti na wale mademu wanaoliwa kimasihara katika ule uzi wako pendwa.VIpi mkuu bado chelsea hawajachomoa😂😂T
Thubutu


Spurs, Brighton na Arsenyau hizi timu bado zina mentality za mid table team, hata msimu uwaendee vizuri kiasi gani lakini lazima watawadiscourage mashabiki wao, na mwisho wa msimu wanatoka mikono mitupu.