Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Am mad.

Pale White Hart Lane wakina Lampard walikua wanapaita three points lane.

Ngoja tuone
 
Ni ngumu sana kua top of the world.

Kila mtu anatarajia ushinde.

Kwako hata suluhu ni dhambi.

Na mashabiki hata wa timu yako wanatarajia ushinde.

Ndipo Arsenal tulipo
 
Chuma cha pili.

Wanascore magoli ambayo Arsenal ingeweza kuscore.

Cucurella anabadilisha viatu. Goli la kwanza na la pili limesababishwa na yeye kupoteza mpira
 
Netflix,,,,,

Always next season!!!!!! Majinga kabisa, unataka kushinda EPL na UCL na kiazi trossard? Reject ya Madrid Ode ? ST Jesus ? Mpiga nyeto Saka ?

Arteta anawauza tu hakuna kitu,,,,mtakuja kustuka mda umeenda ! Fukuza benchi lote la ufundi ,! Mtamtegemea Martineli eti game changer mna akili timamu?
 
Ninyi Ng'ombe pori ,mnaona kings of London tunavyotembeza nakoz huko ?
Chelsea Champions
Kama kawaida yetu ,ninyi nyau underdog Fulham anawatoa kamasi ,aisee hamna timu bali mna genge la wanywa kahawa
 
Spurs, Brighton na Arsenyau hizi timu bado zina mentality za mid table team, hata msimu uwaendee vizuri kiasi gani lakini lazima watawadiscourage mashabiki wao, na mwisho wa msimu wanatoka mikono mitupu.
Ni mara 100 ushabikie N.Forest au Leicester City kuliko kushabikia timu tajwa hapo juu ambazo zote ni Fungu la kukosa Fc.
 
20241208_221625.jpg
 
Back
Top Bottom