Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ile takataka ya arteta inayokimbia kama ina kinyesi matakoni hawezi mambo haya, angeweza kuzuia mali kisha kupiga pasi ya nyuma.
Namna tunacheza inamrahisishia kuscore. Tunatengeneza chances nyingi kiasi kwamba atamess up nne atapata moja na timu inashinda watu wanasahau makosa manne.
 
Mara nyingi sana nimejaribu kumuelewa Jorginho lakini huwa nashindwa.. Kila mara anapoanza katikati huwa tunakosa balance na flow nzuri ya mchezo... Kuna vitu vingine Arteta huwa analazimisha tu lakini havina tija kwenye mchezo.. Ni kwanini Kieran Tierney asianze left back then Thomas Partey akaenda katikati.. Una left back wa asili unamuacha nje then unachezesha wachezaji out of position.
 
Katika kitu nimegundua Arsenal tukicheza na timu ambayo tayari iko kwenye mkao wa kushambuliwa tunastruggle.

Ila tukicheza na timu ambayo inafocus kudefend tunakua wazuri. Timu ambayo ipo tayari kushambuliwa inakua ina wachezaji hadi mbele so they can also score.

Ila viazi vinavyotaka kukaba kama nyumbu ni easy kuvipiga bila majibu
 
Mara nyingi sana nimejaribu kumuelewa Jorginho lakini huwa nashindwa.. Kila mara anapoanza katikati huwa tunakosa balance na flow nzuri ya mchezo... Kuna vitu vingine Arteta huwa analazimisha tu lakini havina tija kwenye mchezo.. Ni kwanini Kieran Tierney asianze left back then Thomas Partey akaenda katikati.. Una left back wa asili unamuacha nje then unachezesha wachezaji out of position.
Hata mimi najiuliza kulikoni kuhusu Tierney
 
Back
Top Bottom