Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata sisi pale Chelsea tunashangaa kwanini Sanchez Ni kipa no 1 wakati tunaona kipa no 2 Ni Bora kuliko Sanchez, Huyu Sanchez kila game lazima afanye makosa lakini still kocha anampenda
Observation yako ni ya shabiki zaidi kuliko ya kiufundi.

Mfano mimi pia naona Kai hafai kuanza ila kocha anamtumia huyo huyo. Yeye ana sababu zake za kiufundi mimi naangalia kama shabiki.

Akija kocha mwingine na yeye akaendelea kumtumia Kai hapo sasa itabidi niangalie ni kipi sikioni ambacho mchezaji anacho.

Southgate kamtumia Saka kipindi chote. Amekuja kocha mpya anamtumia Saka. Hapo sasa ni wewe uangalie ni kipi hukioni kwa Saka.
 
Observation yako ni ya shabiki zaidi kuliko ya kiufundi.

Mfano mimi pia naona Kai hafai kuanza ila kocha anamtumia huyo huyo. Yeye ana sababu zake za kiufundi mimi naangalia kama shabiki.

Akija kocha mwingine na yeye akaendelea kumtumia Kai hapo sasa itabidi niangalie ni kipi sikioni ambacho mchezaji anacho.

Southgate kamtumia Saka kipindi chote. Amekuja kocha mpya anamtumia Saka. Hapo sasa ni wewe uangalie ni kipi hukioni kwa Saka.
Saka Hana uwezo wa kumweka Palmer benchi sema Ni vile Saka nimchezaji ameanza kuingia kwenye team muda mrefu than Palmer but kwa viwango vyao Palmer Ni better than saka
 
Duh 😂😂😂

Saka hana uwezo wa kumuweka Palmer benchi.

Sasa yule anayekua benchi ni mdoli?
Hata wewe nikikuambia Kati ya saka na Palmer yupi ungependa awepo kwenye timu yako kimoyomoyo ungesema Palmer kwenye mechi 50 alizochezea Chelsea amechangia magoal 50 for both goals & assist nipe takwimu za Saka
 
Hata wewe nikikuambia Kati ya saka na Palmer yupi ungependa awepo kwenye timu yako kimoyomoyo ungesema Palmer kwenye mechi 50 alizochezea Chelsea amechangia magoal 50 for both goals & assist nipe takwimu za Saka
Nilikua nimejibu hoja yako ila nimefuta.

Najionea huruma kupoteza muda kujibu vitu vipo wazi, kwa anayejifurahisha kwamba Palmer anamuweka benchi Saka ni sawa tu aendelee kujifurahisha.

Ni ngumu sana mtu ana options nyingi za kuchagua kua yeye anaopt kua kipofu katika ukweli halafu akaja akaelewa
 
Itakua hujui Kiswahili

Nakwambia kaanza Madueke unaniuliza tena swali hilo hilo.

Taja mechi unayojua kaanza
Kwa hiyo madueke ndio kamuweka benchi, sasa huyo Madueke kwetu ni takataka.

Halafu kumfananisha fundi Palmer na Saka ni kumkosea heshima PALMAR. COLD anacheza namba nyingi pale mbele, saka zaid ya kukimbia na mpira pembeni nini kingine anajua?

Acha mahaba niue huyo Saka ndio anawachelewesha ubingwa. Tafuteni world class.
 
Kwa hiyo madueke ndio kamuweka benchi, sasa huyo Madueke kwetu ni takataka.

Halafu kumfananisha fundi Palmer na Saka ni kumkosea heshima PALMAR. COLD anacheza namba nyingi pale mbele, saka zaid ya kukimbia na mpira pembeni nini kingine anajua?

Acha mahaba niue huyo Saka ndio anawachelewesha ubingwa. Tafuteni world class.
Palmer ni hatari.

Yeye anawekwa benchi na watu aliowazidi viwango tu.
 
Zinchenko: "[Arteta] likes to play games with the opposition.

"I've seen him tell injured players to come on the team bus and walk into the dressing room with their wash bag, to put the other manager off the scent,"

😁 revealed
 
Nicolas Pépé: “Arsenal spent a lot of money on me and I paid the price for it.” ❌💰 😁
 
Nunez

Mechi 10 goli moja. Easiest fight ya Jota kurudishiwa namba yake.

Angalia kiazi kimoja kinavyozurura nyuzi za watu kutaja wachezaji wa timu zingine.

Maajabu yake ni kwamba wachezaji anaowataja kwenye hizo mechi kumi wana goli zaidi ya nne.

Hawa ni watu wa kukupotezea muda?
 
Screenshot_2024-12-11-22-02-18-620_com.instagram.android-edit.jpg
 
Arsenal tumefikia uwezo wa kumuignore Partey mid?

Sidhani. Haswa kipindi hichi
 
Tunatakiwa kushinda lakini kocha amerudia kilichofanya tuwe butu mechi iliyopita.

Hii itafanya dependency iwe kwenye krosi na siyo through balls, transition, break in play na 1, 2.

Monaco ni wabaya? No wana kampeni nzuri tu kwenye ligi so mechi ya leo inaweza tosha kua disappointment. Viungo wao Matazo na Camara ni wazuri kwenye defense na pass. Leo Magassa kaanza badala ya Matazo, Magassa ni mzuri kukaba.

Wana Minamino ambaye alifeli Uingereza ila Monaco anakiwasha isipokua leo hayupo.

Kocha wa Monaco amejiandaa kufanya defense ya nguvu na kufanya purposive movements tu.
 
Back
Top Bottom