Hata sisi pale Chelsea tunashangaa kwanini Sanchez Ni kipa no 1 wakati tunaona kipa no 2 Ni Bora kuliko Sanchez, Huyu Sanchez kila game lazima afanye makosa lakini still kocha anampendaAnamuweka benchi au hamuweki benchi?
Hata sisi pale Chelsea tunashangaa kwanini Sanchez Ni kipa no 1 wakati tunaona kipa no 2 Ni Bora kuliko Sanchez, Huyu Sanchez kila game lazima afanye makosa lakini still kocha anampendaAnamuweka benchi au hamuweki benchi?
Observation yako ni ya shabiki zaidi kuliko ya kiufundi.Hata sisi pale Chelsea tunashangaa kwanini Sanchez Ni kipa no 1 wakati tunaona kipa no 2 Ni Bora kuliko Sanchez, Huyu Sanchez kila game lazima afanye makosa lakini still kocha anampenda
Saka Hana uwezo wa kumweka Palmer benchi sema Ni vile Saka nimchezaji ameanza kuingia kwenye team muda mrefu than Palmer but kwa viwango vyao Palmer Ni better than sakaObservation yako ni ya shabiki zaidi kuliko ya kiufundi.
Mfano mimi pia naona Kai hafai kuanza ila kocha anamtumia huyo huyo. Yeye ana sababu zake za kiufundi mimi naangalia kama shabiki.
Akija kocha mwingine na yeye akaendelea kumtumia Kai hapo sasa itabidi niangalie ni kipi sikioni ambacho mchezaji anacho.
Southgate kamtumia Saka kipindi chote. Amekuja kocha mpya anamtumia Saka. Hapo sasa ni wewe uangalie ni kipi hukioni kwa Saka.
Duh 😂😂😂Saka Hana uwezo wa kumweka Palmer benchi sema Ni vile Saka nimchezaji ameanza kuingia kwenye team muda mrefu than Palmer but kwa viwango vyao Palmer Ni better than saka
🤣🤣🤣🤣Nyie false hopers fc hivi mliona nini kwa Raheem Sterling?
Hata wewe nikikuambia Kati ya saka na Palmer yupi ungependa awepo kwenye timu yako kimoyomoyo ungesema Palmer kwenye mechi 50 alizochezea Chelsea amechangia magoal 50 for both goals & assist nipe takwimu za SakaDuh 😂😂😂
Saka hana uwezo wa kumuweka Palmer benchi.
Sasa yule anayekua benchi ni mdoli?
Nilikua nimejibu hoja yako ila nimefuta.Hata wewe nikikuambia Kati ya saka na Palmer yupi ungependa awepo kwenye timu yako kimoyomoyo ungesema Palmer kwenye mechi 50 alizochezea Chelsea amechangia magoal 50 for both goals & assist nipe takwimu za Saka
Kwa hiyo madueke ndio kamuweka benchi, sasa huyo Madueke kwetu ni takataka.Itakua hujui Kiswahili
Nakwambia kaanza Madueke unaniuliza tena swali hilo hilo.
Taja mechi unayojua kaanza
Palmer ni hatari.Kwa hiyo madueke ndio kamuweka benchi, sasa huyo Madueke kwetu ni takataka.
Halafu kumfananisha fundi Palmer na Saka ni kumkosea heshima PALMAR. COLD anacheza namba nyingi pale mbele, saka zaid ya kukimbia na mpira pembeni nini kingine anajua?
Acha mahaba niue huyo Saka ndio anawachelewesha ubingwa. Tafuteni world class.