Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,311
- 2,570
punguza kujifariji mkuu, kocha la ball Harmorapa ameshasema ligi anaanza rasmi wiki ijayo atapokutana na Arsenyo.
Yaani baada ya hio kauli yake ghafla tu nimejikuta naanza kuwahurumia mashabiki wa Arsenyau![]()
Acheni basi..., zile pwenti tatu za waziwazi tuuu...
Yaani mnataka kuleta maneno kama vile kuna mechi na nyie wakati ni uji uji tu.


