Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Yap.😀 😀 😀 😀
ukiachana na ukosefu wa vibe tusiposhinda, SABABU KUU ya mimi kupunguza mahudhurio humu ni mazingira niliyopo sasa. Network ni ya shida sana.
ila kama castr alivyokujibu...sisi tupo tu na timu yetu ya mabingwa katika hali zote


