Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😀 😀 😀 😀
ukiachana na ukosefu wa vibe tusiposhinda, SABABU KUU ya mimi kupunguza mahudhurio humu ni mazingira niliyopo sasa. Network ni ya shida sana.

ila kama castr alivyokujibu...sisi tupo tu na timu yetu ya mabingwa katika hali zote
Yap.
 
Daah mijitu mingine bana..., toka asbh umetoa mishipa kwenye nyuzi za timu bora, umesahau kumbe chama lako bovu zaidi
punguza kujifariji mkuu, kocha la ball Harmorapa ameshasema ligi anaanza rasmi wiki ijayo atapokutana na Arsenyo.
Yaani baada ya hio kauli yake ghafla tu nimejikuta naanza kuwahurumia mashabiki wa Arsenyau
 
punguza kujifariji mkuu, kocha la ball Harmorapa ameshasema ligi anaanza rasmi wiki ijayo atapokutana na Arsenyo.
Yaani baada ya hio kauli yake ghafla tu nimejikuta naanza kuwahurumia mashabiki wa Arsenyau

Acheni basi..., zile pwenti tatu za waziwazi tuuu...

Yaani mnataka kuleta maneno kama vile kuna mechi na nyie wakati ni uji uji tu.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-25-12-07-38-40_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
    Screenshot_2024-11-25-12-07-38-40_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
    196.1 KB · Views: 10
Jesus hajaanza PL mechi for god knows how long, unataka kumlinganisha na Kai aliepewa trust na muda ku adapt?

Of coarse during the game he had his moments huwezi kusema kaharibu, unaona kabisa passing game yake ni nzuri and how he connects with his teammates (like that move from the flank with Ødegaard).
Kuna kitu kafanya ambavyo kai ajawai kufanya?
 
Liverpool Wanaongoza Ligi kwa tofauti ya point 8 huu mwezi November
Hapa ndio tutaona tofauti ya timu kubwa
Liva hawezi kufikiwa kirahisi tofauti na Asenyeto waliongoza point 8 bado mechi 10 na ubigwa ukakosekana
 
Liverpool Wanaongoza Ligi kwa tofauti ya point 8 huu mwezi November
Hapa ndio tutaona tofauti ya timu kubwa
Liva hawezi kufikiwa kirahisi tofauti na Asenyeto waliongoza point 8 bado mechi 10 na ubigwa ukakosekana
sio mechi 10 mkuu, ilikua bado mechi 8 na ubingwa hawakupata.
 
Liverpool Wanaongoza Ligi kwa tofauti ya point 8 huu mwezi November
Hapa ndio tutaona tofauti ya timu kubwa
Liva hawezi kufikiwa kirahisi tofauti na Asenyeto waliongoza point 8 bado mechi 10 na ubigwa ukakosekana
Tumeichukua hii ili tukuoneshe itavokua.
 
Hili kosi la leo Havertz atawaka kwa sababu Odegaard atamfeed mipira vizuri.
Tutegemee 2-0 first half.
 
Sporting CP kamfunga Sturm Graz, Lille na City kisha kasuluhu na PSV Eindhoven.

Do we have a chance? Yes. Kama unamfunga City na unasuluhu na PSV hauna tofauti na Spurs. Anafungwa na Ipswich kisha anamfunga City 4.

At some point City alikua anashinda huku anaconcede nikasema timu janja inahitaji kuscore na kukaba kama vile wakifungwa uhai unatoka.

Naamini tuna defense nzuri kuliko City, I hope tutaweza kuzuia attacks za Sporting shida inakuja moja. Kule mbele amepelekwa jamaa ambaye ni weak kwenye link up. Na siyo kwamba hana uwezo huo ila confidence ya kua link is shaken vibaya mno so anaopt kujiangusha, sideway passes na back passes.
 
Sporting 0 vs Arsenal 1
Martineli dk 7
Assist. Timber
 
Back
Top Bottom