Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wadau Huwa kuna kitu linanishangaza japo sehemu ya majibu Huwa nakuwa nayo.
Hivi ni kwanini Huwa tunasita sana kuchukua wale toptop world strikers?

Yaani hata kama tuna pesa bado utaona tunaenda kwa mtu ambaye ni kama plan B or C na wakati mwingine unakuta mchezaji mwenye attributes za daraja A anapatikana kwa affordable price.

Mfano kwa sasa soko Lina watu hawa
V.gyokeres
A.Isack
O.watkins
D .vilahovic
B.sesko

Na kati ya hao ambaye Yuko on fire ni v.gyokeres, ila badala timu yetu imuangalie ili alete immediate effect unaona tunaanza kudili na ISACK .

Najua kuna mtu atasema maswala ya scouting, tactical and technical qualities, Epl experience,maamuzi ya bench la ufundi nk.

Ila kwanini uwe tayari kutoa £120m kwa ISACK na usitoe hiyo kwa mtu kama gyokeres.?
Jamaa ana Ile instinct ya strikers.


Natamani huyu mnyama toka ligi ya ureno aje japo sijasahau mambo ya Darwin Nunez na wengine kibao waliotoka farmers league kwa bei kubwa na wakaja kuflop tu huku.
 
Mlevi mwenyewe bana.

Kwani Carabao siyo kombe? and trust me EPL race isn't done yet
Edo Kumwembwe mwenyewe hua anasema alianza kua mlevi baada ya kuanza kushabikia Arsenyau, anadai pombe pekee ndio inayompea faraja kila anapoumizwa na matokeo ya timu yake, hivyo kuna kamstari kembamba sana kanakoitenganisha Arsenyo na ulevi.
Wale mashabiki wa Arsenyo wasiotumia kilevi hua wanaishia kujitundika.
Hata hapa kitaani kwetu walevi mbwa wote ni mashabiki wa Arsenyau.
 
Edo Kumwembwe mwenyewe hua anasema alianza kua mlevi baada ya kuanza kushabikia Arsenyau, anadai pombe pekee ndio inayompea faraja kila anapoumizwa na matokea ya timu yake, hivyo kuna kamstari kembamba sana kanakoitenganisha Arsenyo na ulevi.
Wale mashabiki wa Arsenyo wasiotumia kilevi ndio hua wanaishia kujitundika.
Hata hapa kitaani kwetu walevi mbwa wote ni mashabiki wa Arsenyau.
Najua furaha yako ipo arsenal, endelea kuenjoy
 
Soton wamecheza back passes na sideway passes mpaka mashabiki wanawapigia kelele waende mbele
Wemezingua sana, Arsenyo alishawahi kuongoza ligi kwa points 8 lakini mwisho wa msimu City akabeba kombe.
Ngoja tuone kama Liverpool nao watakaua wapuuzi kama Arsenyau.
 
Amorim anaanza na back 3

WB wake ni Mazraoui na Amad, Amad ni mzuri kwenda mbele ila defensively siyo sana.

Defensively set up ya upande wa Amad ni average kwakua Dalot ana akili ya kushambulia zaidi, Casemiro is old na Fernandes ni lawama zaidi.

Kwa kumzingatia mpinzani wao wa leo pengine ni sawa kufanya haya majaribio. Ipswich wamekua shit with only one win against Spurs
 
Wemezingua sana, Arsenyo alishawahi kuongoza ligi kwa points 8 lakini mwisho wa msimu City akabeba kombe.
Ngoja tuone kama Liverpool nao watakaua wapuuzi kama Arsenyau.
Mkikomaa kombe mnachukua hili
 
sio msimu huu, ila ukweli mchungu ni Liverpool, Chelsea na Man Utd watabeba Epl kabla ya Arsenyau.
Daah mijitu mingine bana..., toka asbh umetoa mishipa kwenye nyuzi za timu bora, umesahau kumbe chama lako bovu zaidi
 
PL tushateswa na back three kwa Conte msimu mmoja na Tuchel msimu mmoja.

Uliofuata ni vipigo tu.

Hivi karibuni Pep pia ametutesa na back three, tofauti ya Pep na hao wawili ninaona kwamba kwa Pep yeye inakua tayari shape ya timu ipo kwenye kushambulia wakati Tuchel na Conte zilikua zinatengeneza shambulio from scratch.

Pep hategemei heavily long balls na transition badale yake anafanya zaidi JDP hii ni kwakua kabla hata hajafanya back 3 identity ya Pep ni jdp hivyo physically timu ya Pep was ready kua back 3.

Ruben ana kazi ya kuitransform timu physically na instinctively iendane na back 3. La sivyo ataonekana tapeli
 
Nilisikia shabiki moja la nyumbu likisema Amorim is already a better coach than Arteta. Kwa sasa naona kama tarehe 4 ni mbali maana nna shauku ya kuliona hilo.
20241125_044401.jpg
 
Kama arsenal ni nyoka, wewe ndio kichwa chao. Ila natumaini baada ya game ya forest nawe utapotea kabisa kama akina HENRY14 na mkorea
😀 😀 😀 😀
ukiachana na ukosefu wa vibe tusiposhinda, SABABU KUU ya mimi kupunguza mahudhurio humu ni mazingira niliyopo sasa. Network ni ya shida sana.

ila kama castr alivyokujibu...sisi tupo tu na timu yetu ya mabingwa katika hali zote
 
Back
Top Bottom