toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Wadau Huwa kuna kitu linanishangaza japo sehemu ya majibu Huwa nakuwa nayo.
Hivi ni kwanini Huwa tunasita sana kuchukua wale toptop world strikers?
Yaani hata kama tuna pesa bado utaona tunaenda kwa mtu ambaye ni kama plan B or C na wakati mwingine unakuta mchezaji mwenye attributes za daraja A anapatikana kwa affordable price.
Mfano kwa sasa soko Lina watu hawa
V.gyokeres
A.Isack
O.watkins
D .vilahovic
B.sesko
Na kati ya hao ambaye Yuko on fire ni v.gyokeres, ila badala timu yetu imuangalie ili alete immediate effect unaona tunaanza kudili na ISACK .
Najua kuna mtu atasema maswala ya scouting, tactical and technical qualities, Epl experience,maamuzi ya bench la ufundi nk.
Ila kwanini uwe tayari kutoa £120m kwa ISACK na usitoe hiyo kwa mtu kama gyokeres.?
Jamaa ana Ile instinct ya strikers.
Natamani huyu mnyama toka ligi ya ureno aje japo sijasahau mambo ya Darwin Nunez na wengine kibao waliotoka farmers league kwa bei kubwa na wakaja kuflop tu huku.
Hivi ni kwanini Huwa tunasita sana kuchukua wale toptop world strikers?
Yaani hata kama tuna pesa bado utaona tunaenda kwa mtu ambaye ni kama plan B or C na wakati mwingine unakuta mchezaji mwenye attributes za daraja A anapatikana kwa affordable price.
Mfano kwa sasa soko Lina watu hawa
V.gyokeres
A.Isack
O.watkins
D .vilahovic
B.sesko
Na kati ya hao ambaye Yuko on fire ni v.gyokeres, ila badala timu yetu imuangalie ili alete immediate effect unaona tunaanza kudili na ISACK .
Najua kuna mtu atasema maswala ya scouting, tactical and technical qualities, Epl experience,maamuzi ya bench la ufundi nk.
Ila kwanini uwe tayari kutoa £120m kwa ISACK na usitoe hiyo kwa mtu kama gyokeres.?
Jamaa ana Ile instinct ya strikers.
Natamani huyu mnyama toka ligi ya ureno aje japo sijasahau mambo ya Darwin Nunez na wengine kibao waliotoka farmers league kwa bei kubwa na wakaja kuflop tu huku.

