makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,866
- 106,787
Hichi napenda sana toka kwake, lakini pia mnyumbuliko wake, anavyokimbia kwenye nafasi, anapiga pasi kwenye nafasi kisha analisogelea box, anaosogea na timu.Same trust iwe afforded kwa Jesus.
Jesus anazunguka uwanja mzima anakuchezeshea timu kama false 9 na anakua threat muda wote
Akicheza na martinelli huenda martinelli akaonekana tena.
