Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jesus hajaanza PL mechi for god knows how long, unataka kumlinganisha na Kai aliepewa trust na muda ku adapt?

Of coarse during the game he had his moments huwezi kusema kaharibu, unaona kabisa passing game yake ni nzuri and how he connects with his teammates (like that move from the flank with Ødegaard).
Kafanya mengi tu kai hafanyi..

Kipindi cha kwanza odergaard amefanya vitu vitamu sana, kipindi cha pili kakosea saana, lakini haiwezi kusemwa, alichokosea fundi odergaard kipindi cha pili, jesus vipindi vyote viwili hajakosea kama vile.

Hata Trossard kakosea pia, saka kafanya makosa.

Rythm iliyopatikana pale mbele leo ni burudani tosha, jesus akiendelea kucheza, inawezekana hata martineli atajipata.
 
Ni mtamu zaidi ya kisheti, anajua sana boli,
Enzi zangu nikiamua kucheza namba 6 basi nilikuwa hivi..
Naenjoy mnoo kumtizma huyu muhuni
Kilichonifanya nimkubali zaidi ni alipoondoka ATM ambayo wakati huo ilikuwa bora kuliko sisi, na akasema siku zote alikuwa na ndoto ya kuchezea Arsenal. Alinipata pale hadi leo, namkubali kabla hajaanza kuichezea klabu yetu.

Halafu alivyokuja tu, wenzie wakatwaa kombe! Nilijisikia vibaya sana.
 
Same trust iwe afforded kwa Jesus.

Jesus anazunguka uwanja mzima anakuchezeshea timu kama false 9 na anakua threat muda wote
Hichi napenda sana toka kwake, lakini pia mnyumbuliko wake, anavyokimbia kwenye nafasi, anapiga pasi kwenye nafasi kisha analisogelea box, anaosogea na timu.

Akicheza na martinelli huenda martinelli akaonekana tena.
 
Kilichonifanya nimkubali zaidi ni alipoondoka ATM ambayo wakati huo ilikuwa bora kuliko sisi, na akasema siku zote alikuwa na ndoto ya kuchezea Arsenal. Alinipata pale hadi leo, namkubali kabla hajaanza kuichezea klabu yetu.

Halafu alivyokuja tu, wenzie wakatwaa kombe! Nilijisikia vibaya sana.
Utulivu wake, anavyo receive mali, anavyoachia.. Zile turn zake akipokea mali toka kwa kipa, wakati mwingine nachelewa kujibu msg za mama watoto. 😂
 
Same here...., the guy is so humble, so calm, hardworking and intelligent...

Kuna kipindi Arteta anajitiaga ujeuri kumwacha mwishowe anamrudia mwenyewe...

Nahisi mwisho wa msimu huu ataondoka.., tena free.. kombe tutakalochukua this season itakuwa ndo la kumuaga.
kombe gani atakalochukua Arsenyau msimu huu?
Timu imeshindwa kuchukua kombe 2022/2023 wakati imeongoza ligi karibu msimu mzima (siku 258) halafu uje kujipea matumaini ya kuchukua kombe msimu huu ambao timu limepoteana hata top4 halitoboi.
Ndio maana takwimu zinaonyesha mashabiki wa Arsenyo wanaongoza kwenye suicide attempts na wengi wao ni walevi kupindukia.
 
FB_IMG_17323928378625352.jpg
FB_IMG_17323928431204655.jpg
FB_IMG_17323928514755409.jpg
 
kombe gani atakalochukua Arsenyau msimu huu?
Timu imeshindwa kuchukua kombe 2022/2023 wakati imeongoza ligi karibu msimu mzima (siku 258) halafu uje kujipea matumaini ya kuchukua kombe msimu huu ambao timu limepoteana hata top4 halitoboi.
Ndio maana takwimu zinaonyesha mashabiki wa Arsenyo wanaongoza kwenye suicide attempts na wengi wao ni walevi kupindukia.
🤣🤣🤣🤣🤣Mlevi mwenyewe bana.

Kwani Carabao siyo kombe? and trust me EPL race isn't done yet
 
Back
Top Bottom