Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa namna referee wa mechi yetu Arsenal vs Man City alivyokuwa anachezesha mara mia referee wetu wa Kibongo akina Heri Sasi

Yaani ni bure kabisa, angekuwa Uarabuni angeshapigwa risasi
Angepgwa risasi kwa lipi? Kutoa red card au kwa kuruhusu mpira uchezwe kabla Walker hajaenda kwenda nafasi yake au kuacha ile faulo ya Martinel kwa Herdason.
 
Angepgwa risasi kwa lipi? Kutoa red card au kwa kuruhusu mpira uchezwe kabla Walker hajaenda kwenda nafasi yake au kuacha ile faulo ya Martinel kwa Herdason.
Kwa hyo refa asubiri mpaka mjipange ndo apige filimbi?

Huyo fala Michael Oliver wewe ndo humjui labda. Juventus hawana hamu naye 2018 nusu fainali.

Ni refa bogaz kabisa
 
Ta

Tafuteni mwalimu wa nidhamu mapema, la sivyo kila mechi mtapoteza mchezaji kwa red card. Sheria ya kupiga mpira mbali baada ya refa kupuliza kipenga imetiwa mkazo msimu huu.
Hiyo sheria haina consistency kwa timu zingine ni Arsenal tu.

Ngonjera zako hapa siyo mahali pake
 
Tabu mara mbili. Hii kauli niliisema humu before msimu haujaanza. Tabu mara mbili inakuja.

Tabu ya kwanza, ni ya timu lako kuboronga, au kutokuwa ndani ya UCL. Akina Flano na Mkohoti hapa wanaelewa zaidi.

Tabu ya pili, unaipata kutoka Arsenal. Hii inakuja kwa njia nyingi. Utaumia tukicheza sexy football, kwa sababu timu lako haliwezi kucheza hivi unless wacheze na BARNSLEY.

Njia nyingine ya kupata tabu, ni pale tunapoleta HARAMU FOOTBALL kama tulompigia TOTTENHAM, vivo hivyo ATALANTA.

Bado tunaleta aina nyingine ya tabu kesho Jumapili.
Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulani 😃😃😃😃

Ushauri kwa ndugu zangu Gunners, leo ukitoka usivae jezi ya Arsenal, wanaweza kukuteka hawa.

Viazi vinalalamika jana Kai Havertz hajapiga complete pass hata moja. Huu ndo UHARAMU FOOTBALL, UNDAVA tunaouzungumzia sasa.
 
Duuh! Kweli nyakati zinabadilika.. Man city leo anashangilia draw kama amechukua ubingwa dhidi ya timu pungufu 😂😂😀😀.. Hawatosahau hili haram football la leo
Haland alikuwa haamini anachokiona ulimi nje😀😀...
 
Kai Havertz and Jurriën Timber completed 𝐳𝐞𝐫𝐨 passes against Man City today.It's the first time an outfield player has played 89+ minutes of a Premier League game and not completed a single pass since Opta records began.

Kenge myie eti mnataka ubingwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nottingham Forest alikukojolea sebuleni kwako Anfield kenge wewe
 
Hawa ilikuwa tunawapiga leo, halafu tunasubiri adhabu yao, tupewe makombe yao na washushwe maharaja.
Ila bado ligi bado mapema. Hata tukifungwa leo bado mwisho wa msimu ndoo yetu.
Acha utoto arsenal ichukue kombe la wapi subirini city wanyang'anywe point ndio njia rahisi ya arsenal kuchukua kombe sio uwanjani.
 
Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulani 😃😃😃😃

Ushauri kwa ndugu zangu Gunners, leo ukitoka usivae jezi ya Arsenal, wanaweza kukuteka hawa.

Viazi vinalalamika jana Kai Havertz hajapiga complete pass hata moja. Huu ndo UHARAMU FOOTBALL, UNDAVA tunaouzungumzia sasa.
Majirani walitamani tule hata kono la nyani lakini wapi *****....mwezi wa 12 wte rasmi watajiunga na kipara guardiola kutuzuia....ligi huwa inaanza huo wakati.....sasahivi eti Chelsea naye wa Tano sijui....ukiona hvyo uje bdo bado ligi haijaanza....ikishaanza utaona tu Manunu na Chelkenge wanapokezana zile nafasi zao pendwa pale kati 8 na 9
 
Msimu uliopita Arsenal tukiwa tunacheza na City Kovacic akapata yellow kisha akafanya kosa jingine akatakiwa kupata yellow nyingine.

Refa hakutoa yellow ya pili.

Alipokuja kuulizwa baadaye akasema angetoa ya pili angeinfluence mechi yote.

Jana usiku Trossard akagewa yellow mbili na kuinfluence mechi nzima.

Refa ambaye aligoma kumpa Kovacic yellow ya pili ni Michael Oliver.

Refa aliyempa jana Trossard kadi mbili za yellow ni Michael Oliver.

Go figure
 
Back
Top Bottom