Marefa wa England huwa ni wapuuzi sana na ndio maana wanaongoza kwa kuchikiwa na mashabiki wa mpira kutokana na maamuzi yao yasiokuwa na busara.Bado refa alikuwa anamuonya kawaida tu haikuwa challenge ya kulazimisha kutoa kadi
Kama huyu Michael Oliver ndio hamna kitu kabisa tangu nimuone akiwanyonga Juve dhidi ya real Madrid mwaka 2018 nikajua kabisa huyu ni referee wa ovyo asiyejua afanya maamuzi gani yaliyo sahihi kulingana na mechi.