Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tabu mara mbili. Hii kauli niliisema humu before msimu haujaanza. Tabu mara mbili inakuja.

Tabu ya kwanza, ni ya timu lako kuboronga, au kutokuwa ndani ya UCL. Akina Flano na Mkohoti hapa wanaelewa zaidi.

Tabu ya pili, unaipata kutoka Arsenal. Hii inakuja kwa njia nyingi. Utaumia tukicheza sexy football, kwa sababu timu lako haliwezi kucheza hivi unless wacheze na BARNSLEY.

Njia nyingine ya kupata tabu, ni pale tunapoleta HARAMU FOOTBALL kama tulompigia TOTTENHAM, vivo hivyo ATALANTA.

Bado tunaleta aina nyingine ya tabu kesho Jumapili.
 
Unakandia huku unatubetia🤠🤠🤠...j2 tubetie tena....na siku tukikutana na nyny tubetie tena ila shangilia timu yako kibishi maana utaumia kwmba tumekudunda ila kwny mkeka utakuwa umekula....kumbe una akili kidogo we jamaa...nilijua ni kilaza kumbe zinachaji kidogo

tia
Niliwabetia nikijua mmeshapata utimamu kumbe bado wagonjwa, na kwa City mmepewa 4 na mhindi. Inamaana hamna namna mnatoka kondoo nyie.
 
Tabu mara mbili. Hii kauli niliisema humu before msimu haujaanza. Tabu mara mbili inakuja.

Tabu ya kwanza, ni ya timu lako kuboronga, au kutokuwa ndani ya UCL. Akina Flano na Mkohoti hapa wanaelewa zaidi.

Tabu ya pili, unaipata kutoka Arsenal. Hii inakuja kwa njia nyingi. Utaumia tukicheza sexy football, kwa sababu timu lako haliwezi kucheza hivi unless wacheze na BARNSLEY.

Njia nyingine ya kupata tabu, ni pale tunapoleta HARAMU FOOTBALL kama tulompigia TOTTENHAM, vivo hivyo ATALANTA.

Bado tunaleta aina nyingine ya tabu kesho Jumapili.
Tabu ya mwisho, msimu ukiisha mnatoka kapa. Hahaha......
 
Kocha ana Danny Ings na Antonio ila kwenye kikosi cha kuanza anampanga Bowen kama ST na hao wawili kawaweka benchi.

Baadaye wakitimuliwa ni kulalamika tu.
 
Niliwabetia nikijua mmeshapata utimamu kumbe bado wagonjwa, na kwa City mmepewa 4 na mhindi. Inamaana hamna namna mnatoka kondoo nyie.
Uwe unafuatilia mpira ili ujue unayembetia trend yake ya ushindi ikoje.

Kama ana wachezaji muhimu ama la. Anaocheza nao formation ikoje, ni timu inatoka nchi gani vitu kama hivyo.

Hata ukikesha kulalamika humu hiyo hela ya ada hairudi.
 
Niliwabetia nikijua mmeshapata utimamu kumbe bado wagonjwa, na kwa City mmepewa 4 na mhindi. Inamaana hamna namna mnatoka kondoo nyie.
Screenshot_2024-09-21-15-27-18-968_com.instagram.android-edit.jpg
 
Uwe unafuatilia mpira ili ujue unayembetia trend yake ya ushindi ikoje.

Kama ana wachezaji muhimu ama la. Anaocheza nao formation ikoje, ni timu inatoka nchi gani vitu kama hivyo.

Hata ukikesha kulalamika humu hiyo hela ya ada hairudi.
Nataka kurudisha hela yangu, Arsenal vs City nimbetie nani?
 
City next match Watford halafu Newcastle

Arsenal next match Bolton halafu Leicester

Arsenal haina Martin. City ikiamua kumchezesha Kevin inaweza.

Arsenal haijamfunga City Etihad bado. Sioni ikianza kesho, kwa trend yetu ya sasa tukishinda ni miujiza. Arsenal tuna shida nyingi mojawapo ni kwamba asipokuwepo mchezaji fulani timu inacheza huku inakubali kwamba kuna gape.

A better mid option kwangu ni Rice, Partey na Sterling. Trossard acheze na Sterling siku moja tuone
 
City next match Watford halafu Newcastle

Arsenal next match Bolton halafu Leicester

Arsenal haina Martin. City ikiamua kumchezesha Kevin inaweza.

Arsenal haijamfunga City Etihad bado. Sioni ikianza kesho, kwa trend yetu ya sasa tukishinda ni miujiza. Arsenal tuna shida nyingi mojawapo ni kwamba asipokuwepo mchezaji fulani timu inacheza huku inakubali kwamba kuna gape.

A better mid option kwangu ni Rice, Partey na Sterling. Trossard acheze na Sterling siku moja tuone
Hiyo match fair, 1-1/0-0

Sterling hana quality za kuwa mid, he has never played inside, atleast Bukayo
 
Mtu anaandika utumbo usiku kesho timu yake inapigwa 3.

Anyway, palace anacheza back 3. Nyumbu msimu huu wameirudia ile work plan ya kupaki basi na kungoja counter.

They have a chance kwa hii formation
 
Mtu anaandika utumbo usiku kesho timu yake inapigwa 3.

Anyway, palace anacheza back 3. Nyumbu msimu huu wameirudia ile work plan ya kupaki basi na kungoja counter.

They have a chance kwa hii formation
5 big chances na wamepoteza zote. Na wana ST
 
Mtu anaandika utumbo usiku kesho timu yake inapigwa 3.

Anyway, palace anacheza back 3. Nyumba msimu huu wameirudia ile work plan ya kupaki basi na kungoja counter.

They have a chance kwa hii formation
Nyumbu sasa hivi ni mwendo wa Seksi football tu, halafu Arsenyau imehamia kwenye haram football ni mwendo wa papatu papatu.
 
Back
Top Bottom