Na isigekuwa ukali uliopitiliza wa refa, yule c115y alikuwa apigwe 4-1 pale ghetto kwakeAiseeee yote kwa yote kwa huu ukuta wa Berlin wacha tu leo niwapongeze kiroho safi wanangu wa Arsenyo.
Kenge ni KENGE tu.Punda wewe
NILIKUWA SIJAWAHI KUONA BALL POSSESSION YA 98/2 LEO NIMEONA.Tumeshindwa kushikilia bomba mpaka mwisho kama watu wa gongolamboto ila sio mbaya sare ya ugenini Ethad ukiwa pungufu
Umehama unyumbuni mbona unaandika kama c115y inakuhusu?Mwambie alale pambaaaaf. Mara ya kumi mnakuja hapa Etihad na hamjawahi kushinda.
Next time pia Rodry hataumia.Nimependa attitude ya wachezaji baada ya kuconcede goli.
Next time hatutapata red
Fu. .ck him, hakuna kitu ambacho angefanya wenzake hawajafanya.Next time pia Rodry hataumia.
Tafuteni mwalimu wa nidhamu mapema, la sivyo kila mechi mtapoteza mchezaji kwa red card. Sheria ya kupiga mpira mbali baada ya refa kupuliza kipenga imetiwa mkazo msimu huu.Huyu trosard awe anaanzia bench ili kulet matokeo makubwa
Game limeharibika tu baada ya yeye kuumia, mlitakiwa mpigwe nyingi nyie vilaza.Fu. .ck him, hakuna kitu ambacho angefanya wenzake hawajafanya.