MKOMBOZI01
Member
- Aug 21, 2024
- 18
- 25
Hawa bila redcard tungewashona
Wanatukanda tu. Kuna shida ya nidhamu.It's dangerous kucheza na City ukiwa pungufu
Kuna bomba nyingine unakuta upande mmoja zimeng'ooka.Mtaweza kushikilia bomba kweli?
Yaan kuna watu ni viazi, yaani kuna sababu gani ya kuchukiwa?It's them against us View attachment 3103508
We ndo unatizama ya tofautiHivi wengine mnatazama mechi yenu ama? 😃😃