Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
Hivi wengine mnatazama mechi yenu ama? 😃😃Sio faulo ya kutaka kumvunja mgongo Bernardo Silva imempa second yellow card Trossard. Kosa ni kuupiga mpira mbali baada ya filimbi.
Hivi wengine mnatazama mechi yenu ama? 😃😃Sio faulo ya kutaka kumvunja mgongo Bernardo Silva imempa second yellow card Trossard. Kosa ni kuupiga mpira mbali baada ya filimbi.
Wanatukanda tu. Kuna shida ya nidhamu.It's dangerous kucheza na City ukiwa pungufu
Kuna bomba nyingine unakuta upande mmoja zimeng'ooka.Mtaweza kushikilia bomba kweli?
Yaan kuna watu ni viazi, yaani kuna sababu gani ya kuchukiwa?It's them against us View attachment 3103508
We ndo unatizama ya tofautiHivi wengine mnatazama mechi yenu ama? 😃😃