Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Naona Ngosha na Wenger bado wanashabikia Arsenal tu..lol
Tupo nafasi ya 10 sasa.
Ni sawa na wewe unavoshabikia Rosonelli ilhali wanachemka kwa Serie A.....Naona Ngosha na Wenger bado wanashabikia Arsenal tu..lol
mwana belo.. ni man UTD hajui .. tatizo la arsenal..!!! arsene wenger sio tatizo...!! mbona mpira tucheza mzuri tu .. wenger akiondoka arsenal utashangaa faster kanyakwa na real madrid ...!!
wenger anachofanya sasa ni kutengeza FAMILY! ... juzi kati nilikuwa naangalia ETAME MAYA .. alipokuwa akihojiwa... akasema THE INVISIBLE WAS LIKE A FAMILY!!...
angalia vijana wadogo aliokuwa nao wenger .. fumba macho angalia gervinho baada ya miaka 2 atakuwaje, jenkson, usisahau huyu kipa wetu mwenye jina gumu, chemberlin... Fringpong . etcl....! tuombe mungu tu wasije kuwa wasaliti kama kina cesc
tujitahidi tu msimu huu upite salama... wenger anajuwa anachofanya! ..
Naona Ngosha na Wenger bado wanashabikia Arsenal tu..lol
Ni zaidi ya mioyo ya Punda.....Maana kuna kipindi Punda huwa anakufa lakini mzigo unafika....Wakuu mna mioyo ya punda.
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa,ila wanakuwa fit kiukweli jamaa hana ubavu wa kuwa-retain,yaani timu yetu inakuwa kama accademy flani hivimwana belo.. ni man UTD hajui .. tatizo la arsenal..!!! arsene wenger sio tatizo...!! mbona mpira tucheza mzuri tu .. wenger akiondoka arsenal utashangaa faster kanyakwa na real madrid ...!!
wenger anachofanya sasa ni kutengeza FAMILY! ... juzi kati nilikuwa naangalia ETAME MAYA .. alipokuwa akihojiwa... akasema THE INVISIBLE WAS LIKE A FAMILY!!...
angalia vijana wadogo aliokuwa nao wenger .. fumba macho angalia gervinho baada ya miaka 2 atakuwaje, jenkson, usisahau huyu kipa wetu mwenye jina gumu, chemberlin... Fringpong . etcl....! tuombe mungu tu wasije kuwa wasaliti kama kina cesc
tujitahidi tu msimu huu upite salama... wenger anajuwa anachofanya! ..
nNi sawa na wewe unavoshabikia Rosonelli ilhali wanachemka kwa Serie A.....
'Balantanda is Arsenal damu'......Hii iliandikwa enzi zile JF kuna kasehemu ka 'status'...
Nitabakia kuwa Arsenal mpaka baada ya kifo.......No matter what!!!....
Habari ndo hiyo...
KAKA sio wote wenye macho wanaona,Real Madrid hawawezi kuvumilia mambo anayafanya Wenger labda abadilike,unafikiri Madrid watakubali kununua wachezaji kama Djorou,Chamakh,Frimpong,Jerkinson,Squilaci?mwana belo.. ni man UTD hajui .. tatizo la arsenal..!!! arsene wenger sio tatizo...!! mbona mpira tucheza mzuri tu .. wenger akiondoka arsenal utashangaa faster kanyakwa na real madrid ...!!
Kitu ambacho AW amefeli ni kutengeneza timu nyingine baada ya Invisible,huwezi kutengeneza family while kila season unauza influencial players,hataki kukubali kwamba mpira wa sasa ni pesa tofauti na enzi zile.Fikiria Nasri,Cesc,Clichy,Toure,Adebayor,Eboue,Hleb,Flamini,Gallas,Henry,ACole,Diarra na wengineo wangekuwepo Arsenal leo ingekuwa inatisha.Juzi umesikia RVP nae anaanza kutingisha kiberiti.wenger anachofanya sasa ni kutengeza FAMILY! ... juzi kati nilikuwa naangalia ETAME MAYA .. alipokuwa akihojiwa... akasema THE INVISIBLE WAS LIKE A FAMILY!!...
Basi titaona kaa mzigo utafika.Ni zaidi ya mioyo ya Punda.....Maana kuna kipindi Punda huwa anakufa lakini mzigo unafika....
Golikipa kafungwa magoli mchekeo sana uyu wa sandaland..kuna bahasha kapewa nadhan.
Mimi nimechoka halafu huyu Oshea na Brown wanacheza kwakupania utasema wako Manu
Gooooooooooollll! lalalala! ofside!
Siku RVP akiumia sijui nani mwingine mwenye uwezo wa kufunga hapo Arsenal
Msihofu mashabiki wa the gunners leo tunamchapa mtu goli nyingi,wapi wacha1 njoo tushanglie hapa jukwaani,mimi nipo jukwaa la kusini nimevaa jaket nyekundu na pama la blue la gunners
Waleteeeeeeeeeeeeee aooooooo! Wapi Arsene Wenga?...wap Wacha Booooooy! wapi Mbu?....naona mmemukaimisha maumivu Questt na ndugu zake apa.
KAKA sio wote wenye macho wanaona,Real Madrid hawawezi kuvumilia mambo anayafanya Wenger labda abadilike,unafikiri Madrid watakubali kununua wachezaji kama Djorou,Chamakh,Frimpong,Jerkinson,Squilaci?
Kitu ambacho AW amefeli ni kutengeneza timu nyingine baada ya Invisible,huwezi kutengeneza family while kila season unauza influencial players,hataki kukubali kwamba mpira wa sasa ni pesa tofauti na enzi zile.Fikiria Nasri,Cesc,Clichy,Toure,Adebayor,Eboue,Hleb,Flamini,Gallas,Henry,ACole,Diarra na wengineo wangekuwepo Arsenal leo ingekuwa inatisha.Juzi umesikia RVP nae anaanza kutingisha kiberiti.
Angalia Barca pamoja na kuwa wanapika wachezaji wakali kwenye academy yao lakini mbona wanatumia fedha kununua wachezaji kama Sanchez,Mascherano,David Villa
Tupo nafasi ya kumi yakhe!!!hongereni..
Tupo nafasi ya kumi yakhe!!!
Taratibu tunaitafuta Man City
Tofauti yake haibi Maandazi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Walitumwa na mzee Fungie khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mbona M. Dean aliwapa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee itabidi ajieleze .... .. maana ile soft free kick huwa hatoi hasa wakiwa wafadhili wake wanaompa brown envelopes khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
Tutamkodi Wine Romney unasemaje?
Vipi mkuu, umeona jamaa walivyobebwa kipindi cha pili, hawakuwa na nia ya kucheza soka ..... ..... .... tutafika tu .... pm uniambie mitaa yako.
Tumekimbia jukwaa maana moto ni mkali tunaendelea kujificha hadi EPL iishe, how do you like that? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee