Huenda!
Ingiza Chamakh
AW kawakata jamaa zenu kupiga mashuuti?
Tatizo sio usajili.......Ni mfumo/aina ya uchezaji unaofundishwa na AW.....Umeprove failure siku nyingi tu lakini bado anaung'ang'ania....Kwa style hii ya uchezaji lazima RVP aondoke........Unless AW afamye usajili wa kutisha JAN....
Angalia Chamakh alivyokuwa Bordeaux,Rosisky alivyokuwa Dortmund,Arshavin alivyokuwa kwao at least msimu wake wa kwanza alionyesha makali nakumbuka kuna siku aliwapiga Liverpool goli 4Wacheki viwango vyao kwenye former clubs au timu ya taifa, yani ni tofauti kabisa!
Goli! van persie, bonge la freekick!
Beki isituangushe sasa