Hongereni gunners wenzangu kwa ushindi.....
Ila timu yetu bado sana,hatuchezi mpira wa Arsenal ile tuliyoizoea,kama enzi za 'The Invincibles'....AW ana haja ya kubadilisha mfumo/aina ya uchezaji sasa maana kwa hali ilivyo sasa kila mtu anacheza kivyake uwanjani,hakuna co-ordination,mabeki hawaelewani,viungo hawaelewani na washambuliaji ndo usiseme.....Thank God we found RVP.....Vipi kama akiumia/akiondoka kama ilivyokuwa kwa Samir na Cesc,ndo kusema ataondoka na magoli yake?......AW anapaswa kuwapika washambuliaji waliobaki akina Chamakh,Gervinho,Arshavin,Walcott,J.P Young na wengineo...
Arsenal: Together We Stand......Mpaka kitaeleweka tu,mdogomdogo tutafika...