Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jekinson is a real J***K..... Bonge la BOKO... Ila Kipa katutoa sana.... ingekua 2-1.... Brilliant save from our Gollie....
 
Waleteeeeeeeeeeeeee aooooooo! Wapi Arsene Wenga?...wap Wacha Booooooy! wapi Mbu?....naona mmemukaimisha maumivu Questt na ndugu zake apa.
 
Jekinson is a real J***K..... Bonge la BOKO... Ila Kipa katutoa sana.... ingekua 2-1.... Brilliant save from our Gollie....

Hahahaha! si ulikuwa unamsifia tu ww mda si mwng.
 
Timu zingine kushabikia lazima uwe na Kikombe cha Tangawizi maana hukawii kupata Shambulizi la Moyo LoL!
 
Arse8 bana, hawa Sunderland tangu kuondoka kwa Dany Wellback na Asamoah Gyan wamekuwa mdebwedo lakini nashangaa bado wanawasumbua
 
Waleteeeeeeeeeeeeee aooooooo! Wapi Arsene Wenga?...wap Wacha Booooooy! wapi Mbu?....naona mmemukaimisha maumivu Questt na ndugu zake apa.
Jumapili leo mkuu , mechi imekuja mapema kidogo ndio nimeingia hapa naona 1-1.

Nataka kupata hali ya mchezo kutoka kwa ndugu zangu Katavi,Quesst. Na Viper.wakuu nipeni kidogo hali mchezo vipi kipindi cha kwanza?
 
Hii defence yenu isipobadilika tukikutana tena tunapiga 8 nyingine
 
Arsenal hali bado siyo nzuri..hamna link kati ya wachezaji. Kila mtu anacheza anavyojua.
Van P na Koscienly ndio wachezaji pekee wanaojituma
 
Back
Top Bottom