Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

danganya kidogo mkuu. ukiongea ukweli hivi mapema hivi, kuna watu wataweza kuzimia kwa presha.
ila hata kenge tulishawapa warning
na bado wakaja na kina disasi wao
kenge huwa hasikii hadi atokwe damu.
kwako baba ubaya flano,tunakuja kukuliza na vijana wako hapohapo nyumbani kwako
 
msimu huu ni msimu wa visasi kwa wale wote waliotusumbua hapo nyuma. Manyumbu watafikiwa na zamu yao na watapewa kichapo kama wengine. Hakuna atakae pona.
unafikiri hawawazi basi.....hapo wanatamani siku zisogezwe mbele angalau
eti antony nae ni chezaji.....
nyumbu wanakaziwa hadi na burnley, dah
 
Namuona Arjen Ruben kwenye mikimbio ya Saka
IMG-20240428-WA0029.jpg
 
Ndio nimependa tako lako. You doing great, endelea kuchanganya mav* yasigande!
kijana sio kila unaemuona humu ni mtoto mwenzio sasa we endelea

kuna watu unawavumilia ila uvumilivu unazidiwa anapojikuta ame amkia central kwa charges za infringement harassment of malicious act in social communication.

utakapo kamuliwa faini za kutosha ndio huo mdomo wako utakuwa na pazia

last warming kijana
 
mtu anakujia direct na some offensive words tena bila hata kuyafanyia censorship... ye anatukana sasa ukimuendea legitimately kum charge anaanza mzee ohh ilikuwa utani

we ain't gonna repeat twice huwezi ushabiki acha pita kushoto waache tunaoweza ku challenge ana with facts tulichangamshe group
 
Halafu Kai ana goli na assist leo.
Inaelekea natakiwa kuendelea kumsagia kunguni maana tukianza tu kumuona kama anatufaa, jamaa anazidi kuzingua. Acha tuendelee kumchukulia mpaka aonekane mfano ya jiwe walilokataa waashi...
 
kijana sio kila unaemuona humu ni mtoto mwenzio sasa we endelea

kuna watu unawavumilia ila uvumilivu unazidiwa anapojikuta ame amkia central kwa charges za infringement harassment of malicious act in social communication.

utakapo kamuliwa faini za kutosha ndio huo mdomo wako utakuwa na pazia

last warming kijana
😂 unamtisha nani sasa we boya, kama unaweza kwenda kushitaki nenda kashitaki. Humu jf tu mpaka sasa sijafungiwa!

But the message is still clear, uache ush*ga mtoto wa kiume, mambo ya kinafiki kutukandia tukiwa tumefungwa halafu tukishinda uje kutushobokea ndio hatutaki. Chagua upande mmoja, sisi hatupendi unafiki!
 
taja kitu kimoja anachokupa kai over gabby . alafu tuendelee
Anakupa height,anakupa duel anakupa perfect run,ahold mabeki vizuri Sana,hivi vyote gabby amfikii kabisa kai,magoli yote mawili aliyofunga na Chelsea kirahisi kabisa gabb anaweza kuyapoteza,na ni vitu muhimu Sana kiukweli Yeye ndiye amesababisha tumeweza kupata matokeo against big six,pia anakupa assurance ya kupatikana Karibu msimu mzma na energy Ile Ile ambayo kwa gabb huwez kupata,Yeye kai ndio mchezaji pekee Kwa Sasa uwanjani Wa arsenal anayeonyesha ajachoka kabisa na msimu.mimi ni very big fun Wa gabb wengine mnajua humu,na ninajua Kuna baadhi ya gemu gabb anaweza kutuamulia hata Kwa kutafuta penalty,Lakin kiukweli kai amekuja kuongeza vitu vingi muhimu Kwa sisi kuwa title contenders
 
Anakupa height,anakupa duel anakupa perfect run,ahold mabeki vizuri Sana,hivi vyote gabby amfikii kabisa kai,magoli yote mawili aliyofunga na Chelsea kirahisi kabisa gabb anaweza kuyapoteza,na ni vitu muhimu Sana kiukweli Yeye ndiye amesababisha tumeweza kupata matokeo against big six,pia anakupa assurance ya kupatikana Karibu msimu mzma na energy Ile Ile ambayo kwa gabb huwez kupata,Yeye kai ndio mchezaji pekee Kwa Sasa uwanjani Wa arsenal anayeonyesha ajachoka kabisa na msimu.mimi ni very big fun Wa gabb wengine mnajua humu,na ninajua Kuna baadhi ya gemu gabb anaweza kutuamulia hata Kwa kutafuta penalty,Lakin kiukweli kai amekuja kuongeza vitu vingi muhimu Kwa sisi kuwa title contenders
Boli unalijua
 
Hata katika nyakati za giza za Arsenal kuna klabu mbili zilikua haziachi kutubariki na points 3. Nyumbu na Kenge.

Ndiyo maana hawa wawili hata hua siwahofii. Utanotice ninaweza kusema natarajia game ngumu kwa timu kama Westham au Villa ila siyo nyumbu na kenge.

Unakuta mtu anakuambia ukikutana na nyumbu utakoma. Lakini mtu huyu huyu alisema ukikutana na nyukesto utakoma, ukikutana westham utakoma, ukikutana na sheffield utakoma, ukikutana na liva utakoma, ukikutana Brentford utakoma, ukikutana na wolves utakoma, ukikutana na Brighton utakoma, ukikutana na kenge utakoma, ukikutana na city utakoma, ukikutana na spurs utakoma.

Leo anakuambia ukikutana na nyumbu utakoma.

Huyu ni mtu wa kumsikiliza?

Arsenal tumefuck up. Lakini kuna kitu hua nasema kwa timu zote za EPL zilizotufunga bado watu wakisikia tunacheza nazo na anatakiwa atabiri nani atashinda na akipatia ana zawadi bado atachagua Arsenal.

Livakuku alipigwa 7 na Villa lakini walivyorudiana hakuna aliyekumbuka hiyo stori kwakua wote tulijua Villa kabahatisha. Yeyote aliyemfunga Arsenal msimu uliopita na huu ukitoa city ni amebahatisha.

Hutaki njoo na proof ya stats.
 
Back
Top Bottom