HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Muda si mrefu tutawapa kile watakacho. Muda utafika tukimpiga mtu 4-0 tutaonekana hatujacheza mpira.Ukiachana na haters kutuwekea standards za kutotakiwa kutoa sare ukiachilia kufungwa, Kuna standard mpya wameanza kutuwekea ya tushinde kwa style ya kumpa mbinyo mpinzani hadi ashindwe kupumua



