Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa goli zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa.
1713723279967.jpg
 
Arserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa zaidi zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa. View attachment 2976136
micheal oliver kawabetia Arsenal yule alikua anaokoa mkeka weka penati yenyewe katoa kwa aibu kweli
 
Arserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa goli zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa. View attachment 2976136
Bado zamu yenu...tunakuja OT🤠🤠...maneno kidogo vitendo vingi...City atapata Draw tu atake asitake
 
raya kujiamini kumezidi.. anajua akifanya makosa.. arteta bado atampanga tu next games.

dhidi ya porto away..
dhidi ya bayern at home.
na leo na spurs.
 
I'd choose Jesus all day over Kai. Kai afunge au asifunge kwangu haibadili kitu.
Uchezaji wake kwa ujumla hawezi kumuweka level moja na Jesus.

Siwezi kukulaumu, magoli/matokeo mazuri ndio yanafika madhaifu yake huenda hujaliona hilo mpaka leo.
nakusupport apa.. kai ata kukaa na mpira mguuni sekunde tano uongo. ila jesus anaeza na anatoa very good assists.. mfano mzuri goli la trosard vs wolves
 
united ipi ya kunifanya nimhonge refa .. uzi zama za tenhag ata nikimueka chido obi anapata hatrick pale kwenye tofali za kuchoma ..
Arserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa goli zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa. View attachment 2976136
 
Kuna watu wanatamani kushabikia ARSENAL ila ndo tayari wamekua manyumbu na majogoo wengine wagonjwa " chelsick " kazi kupiga kelele humu jukwaani na kwenye majukwaa yao wamekimbia... #COYG.
Kushabikia timu yenye haina kombe lolote la ulaya inahitaji moyo aisee, yaani kwenye kabati la timu yamejazana makombe ya Emirates cup na masinia ya maharage, halafu ndio mashabiki wa timu zenye mkombe kibao ya Ulaya ndio watamani kushabikia si ni uendawazimu huo.
Ni bora hata kushabikia Westham walau unakua na kitu cha kujivunia kuliko kushabikia Mikono Mitupu Fc
 
Gabby amemzidi vitu vingi sana . Kai .... tunaangalia perfomance ya sasa hivi. Kwan mpira unachezwa kwa historia mzer
 
Back
Top Bottom