Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
sio kocha m'baya nenda kaangalie list ya injury wake ndio uje umtolee critics soo far he is an elite coachZamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.
Kisha wakamfananisha na Arteta.
Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
Ferguson
milner
mitoma
march
estupinan
Enciso
hawa ni elite first eleven yake unawahitaji kwa asilimia 100 uweze ku implement style yako ya mpira

