Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.

Kisha wakamfananisha na Arteta.

Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
sio kocha m'baya nenda kaangalie list ya injury wake ndio uje umtolee critics soo far he is an elite coach

Ferguson
milner
mitoma
march
estupinan
Enciso

hawa ni elite first eleven yake unawahitaji kwa asilimia 100 uweze ku implement style yako ya mpira
 
Kilichobaki ni Spurs tu mechi ijayo wafunge hesabu mapema ili FA wammalizie Kipara Advance yake iliyobaki ya ubingwa wa Epl 2023/2024
Kuna Kima humu bado zinapeana false hopes kua Guardiola atapoteza japo mechi moja kwenye fixtures iliyobaki
 
Zamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.

Kisha wakamfananisha na Arteta.

Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
Bado naamini De Zerbi ni bonge la kocha la soka la kisasa. He needs to be on top teams(liver, city, Chelsea, man u, arsenal, tots) kwa hapo uingereza kuonyesha umwamba wake.

Anatakiwa awe sehemu, ambapo top talents zinakuja kwenye timu yake na kubaki, sio kuondoka. Imagine Caicedo bado yupo pale na Mac Allister, then wanaongezwa watu wengine wa maana.

Hii ndo sababu kwenye press conference ya March before game na Liverpool, alipoulizwa kuhusiana na hatma yake,akajibu “I need to speak to Tony Bloom (owner and chairman) about the plan for the club in order to decide my future, I want to know what is the project. I want to keep my ambition."

Plan and project za Brighton, haiwezi ku-extract maximum potential ya RDZ.
 
Kilichobaki Spurs tu mechi ijayo wafunge hesabu mapema ili FA wammalizie Kipara Advance yake iliyobaki ya ubingwa wa Epl 2023/2024
Kuna Kima humu bado zinapeana false hopes kua Guardiola atapoteza tu japo mechi moja kwenye fixtures iliyobaki
Bado mechi 4 Arsenal awe bingwa
 
Mjiandae na shombo zetu tutakaponyanyua ndoo🤠🤠...hamtakaa kwa amani kwny magrup yenu wanga wte
Ndoo peke yenye Wenger orphans mnaweza kubeba ni hii pekee😁😁😁
IMG-20230521-WA0024.jpg
 
Kuna wachezaji ukijaribu kuwakubali unakumbuka drama zao moyo unarudi nyuma.

Jorginho.

First leg against Spurs.

Sasa hivi city hashindi kwaajili ya points 3 anashinda kwaajili ya points na GD. Blueprint ya kumstopisha site ni same na ya kumstopisha Arsenal.

For ages liva akabebwa na late comebacks na VAR, nikasema ni swala la muda kabla hizi mbeleko hazijafeli. Sasa vimefeli wanasingizia kwamba Klopp kutangaza kuondoka ndiyo chanzo.

Siyo kweli, drama zote zimecatch and now they are done. Too bad hii ni timu pekee ambayo mashabiki wake unaweza kaa nao meza moja mkaongea kwakua wote mna chance sawa mathematically kushinda ligi.

Mashabiki wengine haina haja hata ya kusoma comments zao
 
Spurs mtani wa jadi.

Ana game na sisi, liva na city.

Hizi games zote anatakiwa ajitoea 100%

Kwakua wao na sisi ni Derby watajitoa zaidi ya 100%

Wana chance kushinda dhidi ya Liva so kwa hapa hawatorisk 100%

Hawana uhakika na ushindi kwa City so anaweza akaona hana haja ya kuikomalia hii game.

Game against Spurs haiwezi kua nyepesi kama tunavyohisi
 
Nyie Chuchunge mabingwa wa sinia la maharage mna mpya gani humu?
Mie nawakumbusha tu, Kesho ndio ile siku yenu rasmi ya kwenda kuzika false hopes zote za phase4, mnaenda kukutana na wahuni wa London tena wako nyumbani kwao, mbaya zaidi mnaenda kuwakuta kina Pedro Porro wapo kwenye harakati za kupambania kuingia top4
 
Back
Top Bottom