Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie Chuchunge mabingwa wa sinia la maharage mna mpya gani humu?
Mie nawakumbusha tu, Kesho ndio ile siku yenu rasmi ya kwenda kuzika false hopes zote za phase4, mnaenda kukutana na wahuni wa London tena wako nyumbani kwao, mbaya zaidi mnaenda kuwakuta kina Pedro Porro wapo kwenye harakati za kupambania kuingia top4
Una jisikiaje huko ewe malkia wa mipasho😂😀🤣
 
Kai na arteta sijui wana ushemeji.

Timu inahitaji striker, ambae atashuka kuchukua mipira na kusogea nayo juu, striker ambae anasumbua mabeki akiwa na mpira, stiker sharp

Naandika haya, bwana kai kapiga pasi ya goli

Goli linachekiwa.....
Ni chumaaàaaa,
Chuma ya pili.

Ama kweli hakuna ng'ombe asiefaa, kai kasaidia chuma ya pili. Ila bado tunahitaji JESUS
Tume toka kuli ongelea saa 11 asubui 😀🤣
 
Nyie Chuchunge mabingwa wa sinia la maharage mna mpya gani humu?
Mie nawakumbusha tu, Kesho ndio ile siku yenu rasmi ya kwenda kuzika false hopes zote za phase4, mnaenda kukutana na wahuni wa London tena wako nyumbani kwao, mbaya zaidi mnaenda kuwakuta kina Pedro Porro wapo kwenye harakati za kupambania kuingia top4
Wale ni watoto wa mama tu kwetu. Umeona jinsi wababe wa ligi tulivy tikisa ndoto zao za kuingia top 4 huku tukiwaacha nyuma points 20? Hawatuwezi wale. Tutafutie mwingine unayeona angalau anajuajua boli.
 
United hatuna cha kupoteza tena, UCL imeshaendha hivyo ili Arsenyani wajiweke nafasi nzuri kwenye mbio za ubingwa wa EPL ni lazima watufunge OT.

Itakuwa siyo kazi rahisi kwa Arsenal. Kwenye mechi nyingi Arsenal wanapokuwa under pressure huwa wanaboronga na ni kwasababu ya uchanga wa kikosi chao. Mechi kubwa namna hiyo inayoweza kumuweka Arsenal nafasi nzuri kwenye mbio za ubingwa inaweza kuisha vile Arsenal wasivyopenda.

Old Trafford it is. The Theatre of Dreams awaits.
 
United hatuna cha kupoteza tena, UCL imeshaendha hivyo ili Arsenyani wajiweke nafasi nzuri kwenye mbio za ubingwa wa EPL ni lazima watufunge OT.

Itakuwa siyo kazi rahisi kwa Arsenal. Kwenye mechi nyingi Arsenal wanapokuwa under pressure huwa wanaboronga na ni kwasababu ya uchanga wa kikosi chao. Mechi kubwa namna hiyo inayoweza kumuweka Arsenal nafasi nzuri kwenye mbio za ubingwa inaweza kuisha vile Arsenal wasivyopenda.

Old Trafford it is. The Theatre of Dreams awaits.
Umerudi kundini baada ya kile kigenge chako cha Brighton and Hove Albion kuonekana kinarukaruka uwanjani sio....mjipange ndugu zetu...wiki 2 zijazo tunakuja tucheze bolu na nyny
 
Arsenal fans ndio maana watu wanawaona mna matarajio ya kishamba sana. Kwa game ya jana Spurs aliwamiliki karibu kila kitu kasoro goli moja tu lakini mnavyojisifu utadhani mmecheza mpira wa maana sana. Spurs hawakuwa clinical vya kutosha tu ndio maana mmepata hizo point 3, bila kusahau msaada wa VAR
 
Nilidhani unajua mpira kumbe ni mweupe kwlikwli🤠🤠....kaangalie marudio mechi ya Nyukesto na Tottenham pale St James Park.... Tottenham anagongwa 4 uone nani alimiliki mpira na nn kilimtokea...kwli nyumbu ni nyumbu tu....si nyny Kila siku mlikuwa mnatunanga hmu tunakaa na mpira mda mwingi halafu hatufungi...leo hii mmebadili maneno sio🤠🤠...na bado....mjiandae wiki ile kule tunakuja hapo OT Ili kocha wenu apate kulalamika vzuri maana Kila interview lazima atuongelee....Sasa tunamletea kifurushi cha kutosha
 
Kuna points zetu 3 pale Old Trafford tunakuja kuzichukua. Hizo points 3 ni mali yetu na haki yetu, hivyo basi, lazima tusepe nazo.
 
Umerudi kundini baada ya kile kigenge chako cha Brighton and Hove Albion kuonekana kinarukaruka uwanjani sio....mjipange ndugu zetu...wiki 2 zijazo tunakuja tucheze bolu na nyny
Huyu jamaa ni Labyrinth wa manyumbu
 
Flano alikuwa sahihi kuhusu jamaa mwenye akaunti yenye maudhui BUSARA ZA GWIJI WA HIGHBURY.
hamis77 amepotea na yule mtu haposti tena ule ujivuni usiokuwa na maana
Bro, tuna wasiwasi jamaa anaumwa au kuna shida flani. Ile 5g tu tuliyompiga Chelkenge ilitosha kumfanya mwenzetu aonekane usiku ule ule, ila mpaka leo holaa.
 
Arsenal fans ndio maana watu wanawaona mna matarajio ya kishamba sana. Kwa game ya jana Spurs aliwamiliki karibu kila kitu kasoro goli moja tu lakini mnavyojisifu utadhani mmecheza mpira wa maana sana. Spurs hawakuwa clinical vya kutosha tu ndio maana mmepata hizo point 3, bila kusahau msaada wa VAR
Mpira mbinu na magoli.
 
STANDARDS STANDARDS STANDARDS

Tulishalizungumza hili jambo. Arsenal imewekewa standards za juu sana zaidi ya Man City na wapinzani.Ndo timu pekee ambayo haitakiwi kufungwa, kudraw, kuwa na ball possession ndogo na vitu vingine
 
Wenyewe tupo zetu tunafurahia 6 points dhidi ya mahasimu wetu, Tots na Chelsea, wao bado wanajadili how we played. Like they don't know maana ya kushinda Derby no matter position utakayokuwepo katika table
 
Back
Top Bottom