Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
Bado hawajacheza na Spurs au ndo mlikua mnawahesabia watuzuie sisi tu?![]()
Najua shauku yako ni sisi kukosa ubingwa, so stop pretending!
sasa nyie kukosa ubingwa ni kitu cha kustaajabisha na kunipa shauku kweli like SERIOUSLY hawa arsenal fans kuna kitu wana smoke sio kweli
Hapo Mnaenda kunyonyolewa matofalini ya kuchoma
kwa nyumbu hamfui dafu a rivalry for a meaning
