Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikosi hiki hapa.

Tunataka kuwaona Rice, Partey na Odegaard.

Hao hapo
20240428_150944.jpg
 
I'd choose Jesus all day over Kai. Kai afunge au asifunge kwangu haibadili kitu.
Uchezaji wake kwa ujumla hawezi kumuweka level moja na Jesus.

Siwezi kukulaumu, magoli/matokeo mazuri ndio yanafika madhaifu yake huenda hujaliona hilo mpaka leo.
Game iliyopita na chelsea aligewa pasi mbele yake wako mabeki 2 alivyowafikia simply akageuka na kupiga back pass.

Jesus angewafuata.
 
Umesahau jambo moja, Kai hatakiwi kuanza kabisa!
Kai na arteta sijui wana ushemeji.

Timu inahitaji striker, ambae atashuka kuchukua mipira na kusogea nayo juu, striker ambae anasumbua mabeki akiwa na mpira, stiker sharp

Naandika haya, bwana kai kapiga pasi ya goli

Goli linachekiwa.....
Ni chumaaàaaa,
Chuma ya pili.

Ama kweli hakuna ng'ombe asiefaa, kai kasaidia chuma ya pili. Ila bado tunahitaji JESUS
 
Kai na arteta sijui wana ushemeji.

Timu inahitaji striker, ambae atashuka kuchukua mipira na kusogea nayo juu, striker ambae anasumbua mabeki akiwa na mpira, stiker sharp

Naandika haya, bwana kai kapiga pasi ya goli

Goli linachekiwa.....
Ni chumaaàaaa,
Chuma ya pili.

Ama kweli hakuna ng'ombe asiefaa, kai kasaidia chuma ya pili. Ila bado tunahitaji JESUS
Kwa sasa Jesus amekuwa mkimbiaji tu, mpira wake hauna impact tena.
 
Back
Top Bottom