IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,736
- 7,081
Halaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Elewa nini maana ya ushabikiHeavy wins, tumalize second, yote hayo ni sawa kwetu.. Tunachojua we live the moment.
Wewe unaedanga threads za timu zengine kujifanya upo kwa best interest ya timu yetu, uendelee kuumia tu.
Unajifanya mchambuzi kumbe ushuzi mtupu!

Yani shabiki wa arsenal bana yani kitu kidogo yeye anakimbilia kutingisha tako yani anaona deal mwenye na hayo mamboHeavy wins, tumalize second, yote hayo ni sawa kwetu.. Tunachojua we live the moment.
Wewe unaedanga threads za timu zengine kujifanya upo kwa best interest ya timu yetu, uendelee kuumia tu.
Unajifanya mchambuzi kumbe ushuzi mtupu!
Punguza shobo wewe, kawajibu kwenye jukwaa lao huku hatutaki wanafiki.. Kama unataka kuwa against us, be it hatukuzuii. Ila kujifanya unachambua uonekane upo nasi tushakujua so save your energy, peleka ushamba huko.Elewa nini maana ya ushabiki
kila timu lazima ipewe punchline wasikae kizembe zembe sasa nyi kina dada mnaita kudanga
mater in fact kule spana ni kutokana rivalry yetu Madrid na wao city soo lazima tuwapige na latest info za arsenal kama mahasimu wao
Embu tumia brain kufikiria
Anaandaa sherehe za ubingwaSijapata kuona shabiki muoga kama Hamisi, huyu jamaa ana DNA za kikunguru kabisa
![]()
Ndio nimependa tako lako. You doing great, endelea kuchanganya mav* yasigande!Yani shabiki wa arsenal bana yani kitu kidogo yeye anakimbilia kutingisha tako yani anaona deal mwenye na hayo mambo
No wonder people call them arse anal coz that's wat they like
Bro WTF grow up you little delusional fan
![]()
Nyie Chuchunge mabingwa wa sinia la maharage mna mpya gani humu?![]()
Mie nawakumbusha tu, Kesho ndio ile siku yenu rasmi ya kwenda kuzika false hopes zote za phase4, mnaenda kukutana na wahuni wa London tena wako nyumbani kwao, mbaya zaidi mnaenda kuwakuta kina Pedro Porro wapo kwenye harakati za kupambania kuingia top4
[emojii miongoni mwa MACHOKO mliopo![]()
Hizi rekodi zako unazitoa wapi?Arsenal kwa man utd ni mteja wakudumu
Mark my words
danganya kidogo mkuu. ukiongea ukweli hivi mapema hivi, kuna watu wataweza kuzimia kwa presha.Nyumbu tutapiga vile tunataka

Usisahau jina la ase8 kilitokea hapoNyumbu tutapiga vile tunataka