Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,928
Mimi nimelia nimeamua nicheke kwa hasira, kesho atakayenikwaa atajuta 🤣🤣🤣🤣🤣Unajua yan sielewag timu yngu tunakujaga kufeli wapi aloo acha kabisa naumia mpaka inabidi nicheke tu
Wanaotaka kugombana na mimi wote waje leo tumalizane kabisaaaa.!!!

eti ana press kushoto dah si aliletwa kwa uzoefu wake wa Chelsea mixer urefu aweze kuwin aerial duels nyingi mbona kama mnampa majukumu mengine wajameni