Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

A
Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Ass'anal Motto; Next season.
 
Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
kila mwaka tunasemaga hivi...........All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again
 
Wazee wa Kono la Nyani poleni kwa kuchezea Kono la Sweta la Mjerumani.
Screenshot_20240410-222526.png
 
Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Kijana city anapambana na madrid kivyaovyao wewe pumzika tu umetoka umetoka
Endi ofu ze stori😂
 
Na ligi EPL msahau kunusa pua zenu kwenye title , fixtures zinazokuja mtakiona cha mtema kuni , ni makonzi na mbata tu mtatembezewa mpaka msimu uishe.
Mna wolves ,spurs ,Chelsea , halafu bado mna audacity ya kuongelea ubingwa .
Mtapigika na kuchakaa sana .
Loosers Efusiiiiii
Arsenyetoz ni loosers
 
Na ligi EPL msahau kunusa pua zenu kwenye title , fixtures zinazokuja mtakiona cha mtema kuni , ni makonzi na mbata tu mtatembezewa mpaka msimu uishe.
Mna wolves ,spurs ,Chelsea , halafu bado mna audacity ya kuongelea ubingwa .
Mtapigika na kuchakaa sana .
Loosers Efusiiiiii
Arsenyetoz ni loosers
 
Nyie ma Slay queens wa London Hongereni kwa kuchezea Kono la Sweta.
Tafuteni kocha wa kueleweka la sivyo kila msimu nyie mtakua ni wasindikizaji tu shauri yenu.

#Matumaini hewa Fc
 
Back
Top Bottom