Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ohoo kumbe Sisi tulivunja hadi magoli uwanjani ,na Ni mwaka Jana hio ...
745588872.jpg
 
Mngekuwa na passion nyie Jana mngefungwa Goli moja mashabiki wote mkakimbia uwanjan ...

Kama mashabiki WA Arsenal mngekuwa na passion Jana mngekimbia uwanjan na kuacha wachezaji wenu wakishindiliwa Goli la pili ?

Kama mna passion Jana mbona uwanja ulikuwa Kimya kama msibani ,mashabiki 30 WA villa ndio walikuwa wanasikika ...

Mashabiki WA kweli ilitakiwa kuendelea kushangilia hadi mwisho kenge nyie ,mnazila kabisa na kuacha kina ordegad masikin pekee yao wanapigwa miti na villa mpaka aibuu...

Harafu unakuta jitu oooh emirates kuna atmosphere nzuri ,kudadekiii


Jana mlionesha Namna gani nyie Ni plastic fan ,mnafungwaje Goli moja Tena kwenye title race mnakimbia uwanja badala ya kuwapa hope wachezaji waendelee kupambana ...falaa kabisa nyie ....Hakuna mashabiki pale
 
Mngekuwa na passion nyie Jana mngefungwa Goli moja mashabiki wote mkakimbia uwanjan ...

Kama mashabiki WA Arsenal mngekuwa na passion Jana mngekimbia uwanjan na kuacha wachezaji wenu wakishindiliwa Goli la pili ?

Kama mna passion Jana mbona uwanja ulikuwa Kimya kama msibani ,mashabiki 30 WA villa ndio walikuwa wanasikika ...

Mashabiki WA kweli ilitakiwa kuendelea kushangilia hadi mwisho kenge nyie ,mnazila kabisa na kuacha kina ordegad masikin pekee yao wanapigwa miti na villa mpaka aibuu...

Harafu unakuta jitu oooh emirates kuna atmosphere nzuri ,kudadekiii


Jana mlionesha Namna gani nyie Ni plastic fan ,mnafungwaje Goli moja Tena kwenye title race mnakimbia uwanja badala ya kuwapa hope wachezaji waendelee kupambana ...falaa kabisa nyie ....Hakuna mashabiki pale
Still City ni viazi
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Bayern M vs Arsenal (pre game Analysis)

✍🏾 Ni Match nyingine ambayo inahitaji Umakini, Utulivu, Na Ambition ya Ushindi.

✍🏾 Hatua Mtoano uwa ni matukio tu yanaamua nani mshindi, sio umecheza vizuri vipi kama huwezi kufunga zaidi mpinzani,unatolewa.

✍🏾 Bayern Kwenye Mzunguko wa Kwanza Waliamua kujitoa mwanga kuacha mpira,wao wakadeal na Transitions.

✍🏾 Sababu walizijatiti kushinda Second balls nyingi, wakiwa wameamua kupiga mipira mirefu, Walikuwa na Winger wenye kasi

✍🏾 Bahati yao Wakatukuta tunaacha nafasi kubwa kuwapa muda kukimbia wingie mfano Sane. Bayern walikuwa wanakaba Compact, asa maeneo katikati kutulazimisha kwenda pembeni.

✍🏾 Je Bayern watakuja Approach hii tena wakiwa Nyumbani sidhani, nafikiri watahitaji kumiliki mpira pia ili wapate uhakika kutengeneza nafasi nyingi za magoal.

✍🏾 Tuchel uwa ni yule yule abadiliki sana ila anafanya tweak kidogo tu, kwenye approach yake kimchezo hapa Arsenal anatakiwa kuadapt hizo changes ili aende nae sawa

✍🏾 Kwa Vile Bayern wakiwa wana miliki sana mpira wanakuwa watu wengi kwenye last line ushambuliaji.

✍🏾 Arsenal moja tunatakiwa kucheza game hii tukiwa Less Emotional. Lengo kuwafanya wachezaji kuwa Concetration kitu kimetuadhibu game 2 hizi.

✍🏾 Kama Bayern ataamua kumiliki mpira basi sisi tucheze Transition game, tuwe makini kutengeneza matukio Mengi ya hatari

✍🏾 Nafikiri ata Pressing tuanzie Mid block , tuhakikishe mistari kati Back line , Midfield , Forward line , tukiwa tunakaba iwe narrow ili kutotoa nafasi kukimbia.

✍🏾 Arsenal anatakiwa pia kuhakikisha anatumia nafasi, Bayern sio wazuri sana kuzui transtions games hivyo kama tukiweza kuwacatch moments kama hizi tutumie nafasi ipasavyo.

✍🏾 Naamini hakuna linaloshindikana ni ambition tu na kupambana.

Amigos
FB_IMG_1713208059295.jpg
 
Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H

Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49

japo mna advantage ya easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs

huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more matured kisha wawepo na points nyingi za kupambana na nyie
Spurs mlevi anapigwa gongo 4 na Newcastle akamfunge city ndugu akili za kilevi kabisa , arsenal perfect team alikaa nyuma kwa city
 
Mngekuwa na passion nyie Jana mngefungwa Goli moja mashabiki wote mkakimbia uwanjan ...

Kama mashabiki WA Arsenal mngekuwa na passion Jana mngekimbia uwanjan na kuacha wachezaji wenu wakishindiliwa Goli la pili ?

Kama mna passion Jana mbona uwanja ulikuwa Kimya kama msibani ,mashabiki 30 WA villa ndio walikuwa wanasikika ...

Mashabiki WA kweli ilitakiwa kuendelea kushangilia hadi mwisho kenge nyie ,mnazila kabisa na kuacha kina ordegad masikin pekee yao wanapigwa miti na villa mpaka aibuu...

Harafu unakuta jitu oooh emirates kuna atmosphere nzuri ,kudadekiii


Jana mlionesha Namna gani nyie Ni plastic fan ,mnafungwaje Goli moja Tena kwenye title race mnakimbia uwanja badala ya kuwapa hope wachezaji waendelee kupambana ...falaa kabisa nyie ....Hakuna mashabiki pale
Huyu umenyoosha ,wakati city kapigwa chuma mbili na astonvilla mechi ya mwisho na ushindi ni lazima kunyanyua ndoo ,washabiki wangeondoka sijui ingekuwaje
 
iyo Real madrid kijana nimeaza kuitazama toka mwaka 2000 wakati wanashinda Tuzo bora ya klabu ya karne sizani kipind kama hichi ulikua unafahamu mpira una fananaye afu kitu cha pili na ushabiki wako wote wa kushangalia city sizani kama kipind wanacheza kina Rober fowler,Richard dunne,yule mchina Sun jihai ulikua umezaliwa au ulikua shabiki wa city wew kama hujamuona Sun jihai akicheza Man city Wew sio Shabiki wa City endelea tu kushangilia timu yako ya Zamani ya Arsenal

Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao....
 
Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao..
Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao....

Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao....
pol
Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao....
asa kijana ujaona ata Emanuel ad
Sasa Hao unaowasema siwajui ,hiyo miaka 2000 mim sikuwa hata nafuatilia mpira ,na wala sijutii ,.....wewe kama umezaliwa 1880 huko kimpango wako na timu zako ....

Harafu mim Ni shabiki WA mpira Kwa kuangalia sio Kwa kufuta upepo WA watu ,kama ningeanza kuwa nafuata mashati na kelele za watu basi ningekuwa shabiki WA united au Chelsea ....maana ndio walikuwa moto kipindi kile ,ila mim niliangalia mpira live nikujua man city this is my team waoooo,,2012 tukachukua pL katika mazingira ya hisia kaliii...Kwa kipindi naanza kukanyaga kibanda umiza kuangalia football man city ndio anakuja top ,....hio arsenal nilikuwa hata siijui ,labda man utd na Chelsea ndio kidogo japo hata sikuvutiwa nao....
kwahyo wakati Emmanuel Adebayor anawafunga Arsenal anashangalia Goli kama mwehu ulikua Shule Msingi pole sana
 
Hivi siku hizi ule ukuta wa chuma wa Saliba, White, Magalhaes, Kiwior wakilindwa na Mchele umepumzishwa? Mbona kama jamaa wanavuja sana huko nyuma!
Bayern kajiokotea bao zake 2 safi, vile vile Villa.

Au safari za kupeana motivesheni Dubai siku hizi hazipo?
 
naona vipigo mfululizo inawamendea 😂

MUNICH 🚫
WOLVES mmejitahidi Sana ni draw 😂
CHELSEA 🚫
TOTTENHAM 🚫
 
Back
Top Bottom