Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1713339670657.png
 
no more runin' scamer
 

Attachments

  • IMG_20240417_123609_648.jpg
    IMG_20240417_123609_648.jpg
    153.4 KB · Views: 15
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
 
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
Ndugu yangu HENRY14 naona umeamua kukamatia mikoba ya Masingeli ya kuendeleza false hopes, ukitaka kujua misukule ya humu tayari imeshajikatia tamaa leo timu yao inacheza lakini comments kuhusu mechi ya leo hazifiki hata 3
Raha sana kuona makondoo ya humu yanaishi kwa stress kama vile yanadaiwa kodi ya nyumba
 
Ndugu yangu HENRY14 naona umeamua kukamatia mikoba ya Masingeli ya kuendeleza false hopes, ukitaka kujua misukule ya humu tayari imeshajikatia tamaa leo timu yao inacheza lakini comments kuhusu mechi ya leo hazifiki hata 3
Raha sana kuona makondoo ya humu yanaishi kwa stress kama vile yanadaiwa kodi ya nyumba
Tupo ndugu yangu wala hatujajikatia tamaa
 
Leo ninyi wachovu wa London , mnaenda kutoka Manundu pale Ujerumani ,
Nawapa onyo : Msiingize timu uwanjani leo , la sivyo mtakiona cha mtema kuni
 
Mmoja leo usiku anacheza CL na timu yake inagombea ubingwa.

Mwingine anagombea penati na wenzake.

Watu wengine kama wajinga
Ubingwa wa kunywa ulanzi labda
Yaani mashabiki wa Arsenyetoz akili zenu ,na mna roho ngumu mno .
Yaani bado mnapigia kupata ubingwa msimu huu ?
Ubingwa upi labda mtuambie wenzetu
 
Watu wanamtaka Isak Arsenal.

Ila jamaa anacheza vizuri kwenye counter.

Arsenal tunachezewa sana low block.

Sidhani kama atashine kama watu tunavyohisi, unless achezeshwe kama Kai. Ana skills na nguvu, anaslip kufanya runs.
Mtu akishakuwa ana skills, nguvu na mnyumbulifu aaah, huwa nakuw na imani nae saana. Isak anaweza akaelekezwa na akatufaa pia.
Yule jesus shida ni sio mfungaji wa uhakika ila kwa kutishia paka pale mbele naamini ndio mshambuliaji namkubali zaidi kwa kizazi hiki kilichokosa washambuliaji wa maana
 
Back
Top Bottom