IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,733
- 7,074
🤣🤣🤣🤣Huku Allianz matayarisho yamekamilika n mwili tuh tunangoja uwasili😂😂💔View attachment 2965985
🤣🤣🤣🤣Huku Allianz matayarisho yamekamilika n mwili tuh tunangoja uwasili😂😂💔View attachment 2965985
Ukisikia matumizi mabaya ya kipaji ndiyo haya sasa. Huyu dogo mara mia hata aende kwa manyumbu kuliko kupoteza muda wake na wale kenge.Kwa huyu Palmer mkicheza na Chelsea mjiandae kisaikolojia


Hawa Kima jinsi unavyowatisha wanaweza wakachange route badala ya kwenda Ujerumani wakaenda zao Dubai.Mmoja leo usiku anacheza CL na timu yake inagombea ubingwa.
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.


Ndugu yangu HENRY14 naona umeamua kukamatia mikoba ya Masingeli ya kuendeleza false hopes, ukitaka kujua misukule ya humu tayari imeshajikatia tamaa leo timu yao inacheza lakini comments kuhusu mechi ya leo hazifiki hata 3





Tupo ndugu yangu wala hatujajikatia tamaaNdugu yangu HENRY14 naona umeamua kukamatia mikoba ya Masingeli ya kuendeleza false hopes, ukitaka kujua misukule ya humu tayari imeshajikatia tamaa leo timu yao inacheza lakini comments kuhusu mechi ya leo hazifiki hata 3
Raha sana kuona makondoo ya humu yanaishi kwa stress kama vile yanadaiwa kodi ya nyumba![]()
Dunia ishange kitu gani Mafriko yaliongia Dubai mall auLeo dunia itashangaa
CoYG
Ubingwa wa kunywa ulanzi labdaMmoja leo usiku anacheza CL na timu yake inagombea ubingwa.
Mwingine anagombea penati na wenzake.
Watu wengine kama wajinga





Dunia ishange kitu gani Mafrko yaliongia Dubai mall au
Sema nae toka amerud bado hayupo kwenye ubora wake, anapiga pasi nyingi hovyo na makosa ya kadi ni rahisi sana.Partey anachangamoto gani kuto-kuanza?
Leo partey akianza, tusipo-qualify. NIULIZWE MIMI
View attachment 2966577
Mtu akishakuwa ana skills, nguvu na mnyumbulifu aaah, huwa nakuw na imani nae saana. Isak anaweza akaelekezwa na akatufaa pia.Watu wanamtaka Isak Arsenal.
Ila jamaa anacheza vizuri kwenye counter.
Arsenal tunachezewa sana low block.
Sidhani kama atashine kama watu tunavyohisi, unless achezeshwe kama Kai. Ana skills na nguvu, anaslip kufanya runs.