





timu yako ni ya ngapi kwenye msimamo wa ligiArsenyetoz jana mmefumuliwa manundu na Aston villa
Partey efusiiiiii !
Mna hali mbaya !
Mdogo mdogo mtarudi kwenye default mode yenu , upepo ulivyowaendea vizuri hapa karibuni mkarudi na kidomodomo Chenu kujiita mabingwa wa Epl na UCL
Ninyi mmerogwa .
Mabingwa wa kunywa ulanzi labda
vipi nyie kule italy, atalanta wanawalia karanga, ohooNa washauri kule Ujerumani msiingize timu uwanjani
UKo sahihi mkuu. Hamisi sijui yuko wapi?Na nyie city mjikaze kwenye GD hapo ukipigwa au draw game mmoja Arsenal ashinde yake mtaamuliwa kwa GD au H2H
Man city played 33 games points 73 GD 44
Arsenal played 33 games points 71 GD 49
japo mna advantage ga easy fixtures zaidi yao ila bado anything can happen in football maana tunajua lazima mfe kwa spurs
huku tunawapiga spana Arsenal haimaanishi washatoka kwenye epl candidate hapana tunawapa ka reality na composure ya kutafakari ni jinsi gani wata amka na deal na mechi zao more mature kisha wapepo na points nyingi za kupambana na nyie
Hamisi ananiangusha sana. Fresh lakini namuelewa.Hii tabia ya Hamis kujificha umefungwa mechi moja tu haikubaliki kabisa ,Hamis nakukumbusha tu Isak na Jesus unakwenda na nani😂😂😂😂😂😂
Wanetu wameanza kukanyagwa
WAPIGWE TU angalau tutaheshimiana hapa jukwaani
Aston villa anakufa mkono Leo, akileta za kupishana anakufa wiki
Hizi nafasi tujitahidi kuzitumia. Huyu vila apewe 3 akatulie
Villa atapigwa tu, Ni swala la muda
Ku overturn goli tatu tushafanya mara kibao mkuuvipi nyie kule italy, atalanta wanawalia karanga, ohoo
Naona sasa hawa Aston villa wanaanza kuingia kwenye mfumo. Huu uchezaji wao ni suala la muda tu.