toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Hadi wewe unaongea?Arse8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowana huku wanatingisha wowowoo na kusema Bayern chukua yote.
Hadi wewe unaongea?Arse8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowana huku wanatingisha wowowoo na kusema Bayern chukua yote.
Kumbe manchesta 7 ni tawi la bayern?
As expected boss.vijana lazima wapate mechi kama hizi ili kuwa maturedExperience is a harsh teacher
Wana world class players wengi ambao wanaweza kufanya chochote kwa timu yoyote ile, Mlidhani ni Luton haoBayern hawacheki na sisi kabisa
Sahihi,acha tuone dakika tisini zina siri gani?david raya mchezo wake wa kutoka sana leo tena umechangia kufungwa goli la kwanza.. sijui jamaa anawazaga nini yani kuliacha lango lake mbali vile.
Aingie partey atoke joginhoArteta must comes up with plan B
Tatizo ni hilo jina 'Gay Gooners' linafurahisha kila nikilisoma. 😂 Wangepunguza ukali wa maneno kama United & Chelsea: Rainbow Devils & Chelsea Pride.Kuna timu ulaya haina kikundi LGBT SUPPORTES
nitajie hapa.
Wanapiga boli tamu sana. Magoli yao ni ya makosa yetu ila wanavyobeat press yetu na wanavyoprogress mipira ni top classWana world class players wengi ambao wanaweza kufanya chochote kwa timu yoyote ile, Mlidhani ni Luton hao
Hili lina ukweli. Yaani shida ni kwamba kwa sisi Arsenal mtu akisoma tu anajua hawa ni mpunga kitenesi ila nyinyi hadi aangalie makalio yalivyolikaTatizo ni hilo jina 'Gay Gooners' linafurahisha kila nikilisoma. 😂 Wangepunguza ukali wa maneno kama United & Chelsea: Rainbow Devils & Chelsea Pride.
Aingie partey atoke joginho
Aingie tomiyasu atoke kiwior
Ina case, aingie trossad
That's plan B
3+ bado zip
Una maanisha hata united ni flukeMedia za Ungireza zimearibu sana watu wangireza mnatimu za kawaida sana kelele nyingi sana kweny media pigaaa haoooo kenge naskia rahaaa sana
Nyie mpigeni City. Sisi tunakomaa na huyu mjerumani mpaka kieleweke.Media za Ungireza zimearibu sana watu wangireza mnatimu za kawaida sana kelele nyingi sana kweny media pigaaa haoooo kenge naskia rahaaa sana
Nasisitiza saa sita sio mbali. Tutarud viazi nyie.View attachment 2958904Kondoo wanavyozungumzia Munich unaweza sema wanacheza na Mtibwa.Tutarudi hapa mida ya saa sita na kuwaambia we told you so!!View attachment 2958905