Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kimasihara masihara Asaninyau nae akibeba Uefa tutamtania nani mwingine kuhusu Uefa?
Eeeehh Mungu tuepushe na hii fedheha walakini si kwa mapenzi yetu bali yako yatendeke.
Kesho Masingeli kabla hata ya kupiga mswaki lazima aje atukandie humu utafikiri Porto ndio timu yetu wakati sisi ni friends tu of Porto.
Usiwe na shaka Mkuu
Hawa nyau UEFA hawawezi kupata hata kwa ndumba.
 
Naomba kuuliza Arsenal mara ya mwisho kubeba uefa ilikuwa mwaka gani wakuu
😀😀😀😀
1710335905403.png

1994 UEFA Cup Winners Cup champions

Mdogo mdogo tu tatafika.

Nilikuja jukwaa lenu kuwaomba mtupe tips za kubeba Champions league ila mkanikaushia.
 
False hopers sina neno, hongera kwa kufika 1/4 after 14 years.
Sisi tunasubiri na tunajua mnatoka empty hands ni suala la muda tu. Tamba wewe kwa sasa.
Mkuu nimefuruahi sana kuona post yako humu. Nilianza kupata wasiwasi juu ya hali yako.

Pia nafurahi jinsi nyie mijusi milia mlivyokuja kuwa ngoma ya kijiji. Kila mtu anajipigia tu.
 
Arsenal fainal tunacheza

Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana

Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,

Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,

For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid
 
Arsenal fainal tunacheza

Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana

Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,

Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,

For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid
Tupewe Barca

Ukishindwa kusamehe, lipiza kisasi. alisema Mshana Jr
 
Arsenal fainal tunacheza

Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana

Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,

Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,

For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid
Jana wakituchezea sisi faulo refa anakausha ila sisi tukivigusa tu refa anasema faulo
 
Back
Top Bottom