arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Hzi ni dalili za kuwa mchawi🤠🤠..angalia sana usizeeke na kuwa mzee wa busaraNawakumbusha tu, msimu huu mnatoka kapa. Wazee wa matuamaini hewa.
Hzi ni dalili za kuwa mchawi🤠🤠..angalia sana usizeeke na kuwa mzee wa busaraNawakumbusha tu, msimu huu mnatoka kapa. Wazee wa matuamaini hewa.
Liver achukue EPL kwani miaka 30 ishafika?Jezi nipe tu Mkuu
Mi sina baya navaa
Ila jua tu arsenal kondoo
Madrid UEFA
Liver EPL
Arsenyo msimu huu hamna kombe anabeba, akijitahidi sana labda abebe mimba.Nawakumbusha tu, msimu huu mnatoka kapa. Wazee wa matuamaini hewa.
Kwa sasa huwezi kunielewa, ligi ikiisha nitakukumbusha, Ars88 ni fungu la kukosa.Hzi ni dalili za kuwa mchawi🤠🤠..angalia sana usizeeke na kuwa mzee wa busara
Unashuka daraja hukuNawakumbusha tu, msimu huu mnatoka kapa. Wazee wa matuamaini hewa.
Arsenal mpaka sasa tayari ana tajiKwa sasa huwezi kunielewa, ligi ikiisha nitakukumbusha, Ars88 ni fungu la kukosa.
#Matumaini Hewa FC
Idadi ya mechi walizocheza ni nyingi kuliko points walizokusanya🤠🤠...sijui kimewakuta nn Hawa ndugu zetu....huu msiba huuManjesta waliburuza mkia mbele ya Galatasaray na Copenhagen View attachment 2933715
Liver achukue EPL kwani miaka 30 ishafika?
Namaanisha kombe lenu ni kondooMara hii tumekuwa Kondoo tena?
Tuite Washika bunduki wa London 💪
Hilo la kwanza utanipa maelekezo
Si unajua mabingwa huwa hatuna mbwembwe kama wajaa laana wenye ukame wa makombe😂Hiyo 'liver epl' umeaindika kama unanong'ona. Vipi?
Inaonekana una mapenzi na Arsenal zaidi kuliko LiverpoolNamaanisha kombe lenu ni kondoo
Ama iwe ndio😂
Uefa sahau kabisa
haya ndio makombe yenu mnayojivuniaga. Haya mengine waachie wenye uwezo nayo.
Kombe la Corona, mpaka wachezaji waumwe umwe ndo wenzetu mnapata makombeWewe unasugua mwaka wa 20 huu
EPL unaisikia
Bilabila
Liver amechukua 2020
Unapata wapi Nguvu ya kuropoka?



Patupu sio🤠🤠...si mpo FA cup ndugu zetu...au mshajukatia tamaa mnaona mnapoteza mda kulehaya ndio makombe yenu mnayojivuniaga. Haya mengine waachie wenye uwezo nayo.
Msimu huu mimi na wewe wote tunatoka patupu. Nitakukumbusha kabla hujawakimbia wafuasi wako.
Nyie lenu la Corona liko wapi?Kombe la Corona, mpaka wachezaji waumwe umwe ndo wenzetu mnapata makombe![]()
Hii timu itatoka mikono mitupu kama kawaida yenuInaonekana una mapenzi na Arsenal zaidi kuliko Liverpool
Karibu chamani 🤗
Shangazi inatosha🤠🤠...muda wa kufanya majukumu ya Nyumbani saahiz...hii mishale mnayotutwanga ni kwasababu ya ile nafasi pale juu au kuna lingine...tutarudi kuwa wa 10 kabisa Ili msitufatefate tena....maana wte sasahv mmekusanyana...Chelkenge...Manunu na Liverkuku mnashinda hmu...hamtaki kabisa kuona tukipumua🤠ğŸ¤Hii timu itatoka mikono mitupu kama kawaida yenu
Shangazi yupo busy sana na hii arsenal NDOO kuliko mume wake.Shangazi inatosha...muda wa kufanya majukumu ya Nyumbani saahiz...hii mishale mnayotutwanga ni kwasababu ya ile nafasi pale juu au kuna lingine...tutarudi kuwa wa 10 kabisa Ili msitufatefate tena....maana wte sasahv mmekusanyana...Chelkenge...Manunu na Liverkuku mnashinda hmu...hamtaki kabisa kuona tukipumua
![]()
