Mashabiki bado mnamaumivu ya Mudryk si mkubali mmemkosa mmove onYule bwana mdogo winger wa Napoli anajua, navyomuona Kvara hana tofauti na Mudryk talent-wise.
Mashabiki bado mnamaumivu ya Mudryk si mkubali mmemkosa mmove onYule bwana mdogo winger wa Napoli anajua, navyomuona Kvara hana tofauti na Mudryk talent-wise.
Maumiy ya Mudryk bado yanaendelea si mmove onKichekesho ni kwamba dogo kabla hajaenda Napoli alikua na rekodi mediocre mno.
Ila alivyofika Napoli yupo on fire mno. Kwa maoni yangu Mudryk haiingii kwa Kvitcha in terms of chance creation, ability ya one two na kua constant threat muda wote
Maumivu gani ? mbn una akili za kishamba wewe!Mashabiki bado mnamaumivu ya Mudryk si mkubali mmemkosa mmove on
Jezi yangu ya MITROVIC ishakauka wewe huko je.View attachment 2547192![]()
MnamdMaumivu gani ? mbn una akili za kishamba wewe!
Usimdhau Potter ni aina ya kocha ambaye anahitaji muda kaikuta chelsea ina injuries ya wachezaji 8 Ngolo Kante, Kovacic, Fofana, James, Chillwel, Mendy, RLC, Pulisic muda si mrefu akaletewa wachezaji wengi wapya dirisha dogo Enzo, Mudryk, Madueke,Bachishile, dafro Fofana,Jao felix ndugu wale wainjury wakaanza kurudi na kuna kundi jipya ndani ya kikosi ikaja issue ya kuwaungsnisha ndio maana unaona team ikapitia matokeo mabaya sasa hivi unaona anaanza kupata kikosi chake vizuri so Mudryk ni suala la muda utaona nae gari linawaka moto tu na Jana kacheza vizuri tu so usimuunderstimate kochaMaumivu gani ? mbn una akili za kishamba wewe!
Mi maumivu ninayo kiukweli yule dogo alikuwa maliyetu uchezaji wetu ungemfaa san na angewashtua usingzn martinell na nketiahMaumivu gani ? mbn una akili za kishamba wewe!
Mchezaji bado hajatoa assist wala goli anatakiwa kunifikirisha? Unajua Trossard kafanyaje huo muda huyo dogo anakalia benchi?Maumiy ya Mudryk bado yanaendelea si mmove on
Ila kuna vitu inabidi mchezaji awe navyo mfano finishing na kupose threatMudryk naona ana kila kitu isipokuwa kocha mzuri
Mbona katoa Jana assist au hukucheki game yetu ya Jana na akafunga goal likakataliwa ingawa kwa jinsi nilivyoiyona goal lilikuwa halali kabisaMchezaji bado hajatoa assist wala goli anatakiwa kunifikirisha? Unajua Trossard kafanyaje huo muda huyo dogo anakalia benchi?
Jana sijaangalia game yeyote. Na sijafuatilia chochote zaidi ya kujua liva kashonwaMbona katoa Jana assist au hukucheki game yetu ya Jana na akafunga goal likakataliwa ingawa kwa jinsi nilivyoiyona goal lilikuwa halali kabisa