Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oh Fergie dictator,Wenger yuko friendly na wachezaji hayo ndio matokeo

...nice one Belo, hilo ni tatizo mojawapo ambalo wapenzi na washabiki wa arsenal wanamlaumu sana manager.
lakini je, hiyo ni sababu ya kumfukuza manager wa status kama wenger? who shall replace him ambaye
anaweza fanya kazi kwenye structure ya wages kiduchu kwa wachezaji?

hivi, mnaifananisha arsenal na team zenye ma sugar daddies wanaowapelekesha kina mancini, andre boas, ambao wote wamekalia kuti kavu?
cum on guys, patience pays....competition kwenye epl kwa sasa ni pesa, japo hakuna excuse ya ku draw au kufungwa na team 'dhaifu' kama blackburn, birmingham et al isipokuwa kwa wachezaji wenyewe wanaoweza wadindia kina Barcelona, Borussia Dortmund etc...!
 
We chadema nini??mbona poor english hivyo?? Siyo sucked ni sacked!!! Sucked what?? A dick??? Or....??
Tukubali kuwa ujuzi wa Wenger umefikia mwisho hawezi tena kuimprove. Hopefully he'll b sucked soon and very soon!
<br />
<br />
 
<div style="text-align: center;"><br /> <a href="http://www.arsenal.com/history/the-wenger-years/the-wenger-years-overview" target="_blank"><img src="http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/510x250/jul_08/gun__1216220384_wenger1998.jpg" border="0" alt="" /> </a><br /> <b><a href="http://www.arsenal.com/history/the-wenger-years/the-wenger-years-overview" target="_blank">The Wenger Years - Overview</a></b><br /> <br /> <b><a href="http://www.arsenal.com/history/the-wenger-years/the-wenger-years-overview" target="_blank">How the Frenchman revolutionised Arsenal on and off the pitch</a></b><br /> <br /> <br /> Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea.<br /> <br /> <img src="http://img17.imageshack.us/img17/6683/28rejux.png" border="0" alt="" /></div>
<br /> <br / Arsen Wenger ana timu nzuri, lakini amepoteza umakini na kujiamini. Usajili aliofanya hakufanya upembuzi yakinifu. Mertesacker hatoperform vizuri na Vermaelen sababu wote ni No. 5 hakuna wa kumtuma mwenzie, wote wanaweza kucheza vema na Konscienly (No. 4 bora so far Arsenal). Arteta hajaprove kama ni usajili wa maana, bado hajaisaidia timu. Anaweza kuwa mchezaji bora Everton na sio Arsenal. Frimpong muhimu sana kikosini kwani ni mwenye uwezo mkubwa sana wa kusaidia defence. Walcot angekuwa Man U angeshauzwa siku nyingi tu. Kiwango chake kimedumaa, anacheza game 1 vizuri anaboronga 10. Nimemsahau Santos, ataiweza premier? Mtamkumbuka kiraka Eboue, hakukuwa na sababu ya kuuzwa. USAJILI WA KUKURUPUKA HAUKUENDANA NA MAHITAJI HALISI YA TIMU.
 
League bado mbichi, naamini tuna mechi 2 nyingine za kuzoeana na kufahamiana, wengi wapya msimu huu! Kiujumla timu siyo mbaya kivile!
 
Hivi tunaye defensive coach kweli? kama tunae basi na tubadilishe kwani ameshindwa kabisa kuwafunza vijana jinsi ya kudifendi set pieces na zonal marking. Nakumbuka Clichy aligusia kwamba tofauti na Arsenal, City wao wana-focus kudifendi zaidi na wanafanya mazoezi ya nguvu zaidi.
Kwa nini tusimtumie mtu kama Keown ama Adam nina uhakika tukimleta kwenye benchi la ufundi mmoja kati ya hawa anaweza kusaidia sana.
Nimeangalia tena mechi ya leo kwa kweli inauma, nakubali AW hawezi kubeba lawama zote kwa sababu nafasi tumetengeneza nyingi lakini tumeshindwa kuzitumia.
Labda nitamlaumu Wenger kwa kuendelea kuwabeba sana baadhi ya wachezaji, Sir Alex anasifika kwa hair dryer treatment na hili linawafanya wachezaji wake wasizembee ovyo. Kule ManU ukizembea yule mzee anakushukia kisawasawa na hata Maurinho nae ni hivohivo. Hawa akina Gervinho na Chamakh wanahitaji kukaripiwa kwa kupoteza nafasi kizembe. Najua style ya Wenger ni tofauti yeye ni mkimya zaidi bali imefika time abadilike sasa ama atafute vuvuzela wa kufoka-foka mfano kama Ian Wright, hii itatusaidia. Huko nyuma tulikuwa na akina Adam, Keown, Vieira na hata Henry ambao wote ni wasemaji sana, hivi sasa watoto wote mabubu na ukiangalia nahodha RVP sio msemaji. Tunahitaji Vocal lads uwanjani na kwenye benchi la ufundi.
 
League bado mbichi, naamini tuna mechi 2 nyingine za kuzoeana na kufahamiana, wengi wapya msimu huu! Kiujumla timu siyo mbaya kivile!
Timu sio mbaya ila mfano ManU wakishinda kesho tutakuwa nyuma kwa pointi 11, hizo ni nyingi mno hata kama ligi bado ni changa, tunahitaji consistence ya kushinda mechi mfululizo na huku tukijitahidi na clean sheets ili kuweka balance ya goals difference, katika mechi 5 tumepoteza 3, hii rekodi inasumbua kichwa. Na ukiangalia overall performance hususan difensi yetu katika mechi zote nahisi tatizo bado ni kubwa. Tunahitaji marekebisho haraka.
 
Hizo sababu za hapo mwisho mkuu ndio zinamfanya Wenger abebeshwe lawama. I hope atafatisha maoni yako mapema.<br />
<br />
Tuko pamoja.
<br />
<br />
Kweli hilo linamcost sana AW sababu huwa ana-expect kitu kwa mchezaji flani ila huwa siku haziko sawa kwa binadamu yeyote. Kwenye mitandao wanahoji kwanini Alex-chamberlain asichezeshwe winga na Walcot atafutiwe namba au akae bench ajifunze. Mechi ya kirafiki England na israel ya madogo Alex aliingia akitokea bench na mwisho walishinda 4-1 akihusishwa mabao yote 3. Madogo wapewe nafasi
 
...nice one Belo, hilo ni tatizo mojawapo ambalo wapenzi na washabiki wa arsenal wanamlaumu sana manager.
lakini je, hiyo ni sababu ya kumfukuza manager wa status kama wenger? who shall replace him ambaye
anaweza fanya kazi kwenye structure ya wages kiduchu kwa wachezaji?

hivi, mnaifananisha arsenal na team zenye ma sugar daddies wanaowapelekesha kina mancini, andre boas, ambao wote wamekalia kuti kavu?
cum on guys, patience pays....competition kwenye epl kwa sasa ni pesa, japo hakuna excuse ya ku draw au kufungwa na team 'dhaifu' kama blackburn, birmingham et al isipokuwa kwa wachezaji wenyewe wanaoweza wadindia kina
Barcelona, Borussia Dortmund etc...!
Hapo kwenye red unasahau kuwa wanaperform vizuri ili wawavutie hopefully future employers a la Cesc. Sasa leo hii huwezi kuwadindishia Blackburn wakati ata kukuafford hawawezi.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
League bado mbichi, naamini tuna mechi 2 nyingine za kuzoeana na kufahamiana, wengi wapya msimu huu! Kiujumla timu siyo mbaya kivile!
Mkuu sasa katika hizo mechi mbili za kuzoeana ukipoteza zote utakuwa ushafungwa mechi 5 kati ya 7 na hapo hujakutana na vigogo wengine huoni hiyo ni hatari?
 
Mkuu sasa katika hizo mechi mbili za kuzoeana ukipoteza zote utakuwa ushafungwa mechi 5 kati ya 7 na hapo hujakutana na vigogo wengine huoni hiyo ni hatari?
mkuu league ni mechi 38, hata hivyo timu si ya msimu mmoja maisha yanaendelea
 
Washabiki wote wa arse8 wamekonda sio mchezo, huwezi kuta mshabiki kanenepa hata kidogo
 
Gunners self-destruct

Arsenal self-destructed in a terrible second-half display against Blackburn to leave manager Arsene Wenger once more in the firing line.


Arsenal's players stand dejected after they concede a third goal
 
Gunners self-destruct

Arsenal self-destructed in a terrible second-half display against Blackburn to leave manager Arsene Wenger once more in the firing line.
http://soccernet.espn.go.com/gamecast/_/id/318194?cc=5739

Arsenal's players stand dejected after they concede a third goal

Unashangilia goli la offside? Ndio sababu hamtaki technology itumike kwa sababu ya brown envelopes phew! khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Haya majungu huu mwaka tutayapona kweli? Mbaya zaidi Wenger Kimyaaaa wala hataki kuwajibika kwa kushindwashindwa kwetu!
 
Kumbe magili ya kujifunga nayo ni Offside Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Man Yakubu bwana
Yakubu-Steve-Kean-Blackburn-Premier-League-PA_2653429.jpg

Blackburn-Rovers-Premier-League-PA2_2653410.jpg
 
ila hamna noma ngoja tuone gemu zingine ila msikonde ndio mchezo..
Pole sana kaka Wacha1..
 
Nilikua natazama game ya moja ya wababe wa EPL, kwa kweli ni enjoy mno, bila roho kunidunda! Ila Torres, kakosa kosa vipi lile goli?!

Labda Peasant atakuja humu kutujulisha! (Kama atakuja!).
 
Back
Top Bottom